Nina hakika hata huyu RC alikuwa Black Mailed. Watu wanashangilia hayajawakuta.Hii kesi mimi ilinikuta Mpanda.
Binti anataka laki nne ama akaniripoti polisi kwamba nimefanya kinyume na maumbile. Bahati nzuri mimi nikaenda kuripoti kabla yake.
Polisi wakampigia aje kituoni akakimbia.
Hizo huwa ni blackmail, and i will never pay blackmail bora nifungwe.
Aisee,inasikitisha kwa kweli.Duh...!, hizi mambo zimeanza tena?!..., au Maza nae anaelekea kuwa like Maza like Faza?!.
Tusubirie taarifa ya Edwin Soko wa MPC, kuthibitisha ni polisi maana Waandishi wa Habari na Kupotea/Vifo vya Kutatanisha, Toka Katabalo, Saanane, Gwanda, Mwangosi, Isango. Ni Ama Tuombe Mungu Atunusuru ama...
P
Watu wanapenda kushangilia wenzao wakipata majanga.Nina hakika hata huyu RC alikuwa Black Mailed. Watu wanashangilia hayajawakuta.
Kuwa Mbea na kutototaka Watu Wafukue Uvungu ile Jinsia yenye kupenda Tamaa na kupenda pia Mserereko Maishani.Kakamatwa kwa sababu zipi?
Simulizi tamu hili, jazia nyama mkuu, ilikuwaje hadi akutishie kukufikisha Polisi?Hii kesi mimi ilinikuta Mpanda.
Binti anataka laki nne ama akaniripoti polisi kwamba nimefanya kinyume na maumbile. Bahati nzuri mimi nikaenda kuripoti kabla yake.
Polisi wakampigia aje kituoni akakimbia.
Hizo huwa ni blackmail, and i will never pay blackmail bora nifungwe.
sasa mkuu ukianza kutamka maza huoni kuwa utakosa uteuzi wakati huwa tunakutakia heri nawe upate uteuzi?Duh...!, hizi mambo zimeanza tena?!..., au Maza nae anaelekea kuwa like Maza like Faza?!.
Tusubirie taarifa ya Edwin Soko wa MPC, kuthibitisha ni polisi maana Waandishi wa Habari na Kupotea/Vifo vya Kutatanisha, Toka Katabalo, Saanane, Gwanda, Mwangosi, Isango. Ni Ama Tuombe Mungu Atunusuru ama...
P
AiseeHamna, Yeye ndio aliiweka kule, kila nikiitoa anaiweka tena.
Asubuhi niko zangu Nsemulwa kwa Mkumbo nakula Makongoro, mtu ananitumia meseji.'' Jana umeniumiza nipe hela niende hospitali'' Nauliza sh ngapi? Eti ''Laki nne''.
Nikamwambia go to hell!
Yaani tukutane Digital usiku, unywe ujidai umelewa sana ukanifirishe, halafu uanze kudai laki nne.
Aliyekamatwa amesoma wapi ana elimu Gani au ni jina TU mwaandishi wa habari?Sheria zinasemaje kwani, anakamatwa mwandishi au mhariri.?
tobaaaa, sasa wakat analazimisha kuingiza kule si ungemwambia hutaki, au na wewe ni mdau mkuu?Hamna, Yeye ndio aliiweka kule, kila nikiitoa anaiweka tena.
Asubuhi niko zangu Nsemulwa kwa Mkumbo nakula Makongoro, mtu ananitumia meseji.'' Jana umeniumiza nipe hela niende hospitali'' Nauliza sh ngapi? Eti ''Laki nne''.
Nikamwambia go to hell!
Yaani tukutane Digital usiku, unywe ujidai umelewa sana ukanifirishe, halafu uanze kudai laki nne.
Kuna mwamba alisema hapo rock city ndo kiwanja chake, na alishamchukua kwa 50k na badae akataka nyongeza ili atoe kule jamaa akamwambia sio mdau wa kule, hako kabint ni shida since 2019, kuna boda alikula mvua 30 kisa hako ka bint kumsingizia kukabaka, soma comment ya mayallaWatu wanapenda kushangilia wenzao wakipata majanga.
Inasemekana huyo binti ni malaya mzoefu.