Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Ndio mpaze sauti kumuokoa mwandishi mwenzenu mkuu. Tutarudi zama zile za visandarusi kuokotwa bahariniDuh...!, hizi mambo zimeanza tena?!..., au Maza nae anaelekea kuwa like Maza like Faza?!.
Tusubirie taarifa ya Edwin Soko wa MPC, kuthibitisha ni polisi maana Waandishi wa Habari na Kupotea/Vifo vya Kutatanisha, Toka Katabalo, Saanane, Gwanda, Mwangosi, Isango. Ni Ama Tuombe Mungu Atunusuru ama...
P