Mwandishi Ansbert Ngurumo apewa hifadhi kwa usalama wake nchini Finland

Serikali ya ccm kuuwa kutupwa kwenye sandarus kibiti kuteka kunyima haki raia wake ni bora kukimbia nchi tu tumwachie bashite Mariamungu na baba yake Sisonje wanyigi na ccm polisi yao



Swissme
 
Hii ni shida kwakweli nchi inaenda kubaya hakika
 
Serikali ya ccm kuuwa kutupwa kwenye sandarus kibiti kuteka kunyima haki raia wake ni bora kukimbia nchi tu tumwachie bashite Mariamungu na baba yake Sisonje wanyigi na ccm polisi yao



Swissme
Kinachoonekana sasa ni mwanzo hali ikiendelea hivi wakimbizi watakuwa wengi zaidi.
Sababu watu hawataogopa watapinga tu na wataendelea kukata maovu ya hawa wapuuzi wakiwawinda kuua watakimbia nchi kama tulivyozea kuona Rwanda kule.
 
Hofu yangu ni kwamba tusije tukawatafutia wazungu sababu ya kutuvamia, tukawa kama Libya ya Leo.
 
Mwambieni aache kutafuta umaarufu njaa njaa, atafute na kusakamwa yeye kama nani, anatishio gani boya hilo? Mwambieni dawa ya deni kulipa na si kujificha. Madeni yamemficha
 
Mkuu mkuu unatutonesha majeraha! eti kamera zilikua mbovu! Hata askari wa zamu hawajachukuliwa kuhojiwa!
 
Kaenda pia kuwa na furaha maana hyo NFO nchi yenye furaha kuliko zote duniani by UN reportπŸ˜‰πŸ˜‰
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…