Kabla ya kuachana na mwili, katika siku zake za mwisho yeye pamoja na waliokua wasomaji wa gazeti la Jitambue waliasisi taasisi iinayoitwa JITAMBUE FAMILY AU FAMILIA YA JITABUE. Taasisi hiii inafundisha ''elimu ya utambuzi''.
Baadhi ya masomo yanayofundishwa na taasisi hii ni: Mwili wa hisia, werevu wa hisia, kujihamini na kutojihamini, uhusiano na wengine, kuishi na wakorofi, njia za kujizoeza kujikubali, malengo, tahajudi, kanuni za mahumbile, nguvu za ziada, machale, ndoto na uchawi. Haya ni baadhi ya masomo ambayo alikua akiyafundisha enzi za uhai wake. baadhi ya haya masomo yamerokudiwa unaweza kupata cd zake au video.
Kama unahitaji kujua zaidi kuhusu upatikanaji wa habari zake ikiwamo na vitabu alivyoviandika tuwasiliane nikuelekeze. Piga simu 0717114409.