TANZIA Mwandishi Wa Habari, Vedasto Msungu afariki dunia

TANZIA Mwandishi Wa Habari, Vedasto Msungu afariki dunia

6.jpg
 
Nikiripoti kutoka Morogoro mimi ni Vedasto Msunguuu,,,wa I Ti Viiii
 
This time ni kua watu wameamua kua wanatoa taarifa ya kila kifo, mwisho wa siku watu wanahusisha na ugonjwa uliopo... hata kabla ya corona vifo vilikua vingi tu at the very same rate!, ila watu hawakua wanachangamkia kueneza habari kama saivi!, Imagine ndugu yangu ww mwana jf ukifa saivi taarifa yako kila mtu anaishare, hata kama ulikufa a natural death!..
Aacha upumbavu wewe ni muuaji na ni shetani unayekataa sio korona, ni lini mochwari zikajaa vile kama sio wakati huu wa korona.
 
Back
Top Bottom