figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Once is happenstance. Twice is coincidence. Three times is enemy action.R.i. p maandishi,ila kwanini wafanyakazi wa Azam hufa kwa ajali hasa watangazaji?
DuhOnce is happenstance. Twice is coincidence. Three times is enemy action.
Apumzike kwa amani
Apumzike kwa amani
Ndio kusema!!??R.i. p maandishi,ila kwanini wafanyakazi wa Azam hufa kwa ajali hasa watangazaji?
I'm thinking louderNdio kusema!!??
Hio ni Nissan mzee kiboko ya shoti๐ ๐ ๐Gari imepiga mzinga ila bado inawaka taa?
Xtrail imeisha na Ngaiza,, rest in Peace japo nilikuwa simfahamu!Mwandishi wa Habari wa Azam TV Mkoani Kagera Nicolaus Mac Ngaiza amefariki dunia huku mwandishi wa Habari wa Clouds TV akijeruhiwa usiku wa kuamkia leo baada ya kupata ajali ya gari eneo la Gwanseli lililopo Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera wakati wakitoka kwenye kazi.
.
#RIPNgaiza
View attachment 1926001
View attachment 1926019
Gari alilopata nalo ajali
Kivipi bro?Hio ni Nissan mzee kiboko ya shoti๐ ๐ ๐
Usiombe ilete shida ya umeme utajuta kuifahamuKivipi bro?