Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Hee! CCM tena!!! Kivipi mkuu????!!!!CCM HII ITAMALIZA WATU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee! CCM tena!!! Kivipi mkuu????!!!!CCM HII ITAMALIZA WATU
Extrovert unajua sana magali....siku nikipata hela ya kununua ki Porte ama Passo lazima ni ku- consult mdau wangu......you are leading member on those issuesUsiombe ilete shida ya umeme utajuta kuifahamu
Huyu brother alikuwa mtu poa sana. He's a young brother of my best friend. Nimeshtushwa sana na kifo chakekila mmoja atakufa ila tutatofautiana tu jinsi ya kufa.
Ngaiza alikuwa ripota mzuri sana.
pole kwa wafiwa wote haswa Azam media kwa kumpoteza mfanyakazi mahiri na mwenye bidii.
tutendeane mema.
Once is happenstance. Twice is coincidence. Three times is enemy action.
Pamoja sana chief, tutayajengaExtrovert unajua sana magali....siku nikipata hela ya kununua ki Porte ama Passo lazima ni ku- consult mdau wangu......you are leading member on those issues
Kwa muonekano wa hiyo accident, alikuwa 150 kphHio ni Nissan mzee kiboko ya shoti😅😅😅
Na bila shaka alifanya overtake kwenye blindspot yani kimeumana kweri kweriKwa muonekano wa hiyo accident, alikuwa 150 kph
Kuna Gari ambayo itapata Shoti ya umeme na isilete shida?Usiombe ilete shida ya umeme utajuta kuifahamu
Vijana wa kizazi kipya!Na bila shaka alifanya overtake kwenye blindspot yani kimeumana kweri kweri
ToyotaKuna Gari ambayo itapata Shoti ya umeme na isilete shida?
Eeh alikuwa anaipa tu maskini yani kama hajasinzia huyu lazma alifanya bad overtake (naitaga betting)Vijana wa kizazi kipya!
Toyota tatizo Bei fikiria Vanguard iliyosimama mpaka bongo 35m wakat Xtrail 15mToyota