TANZIA Mwandishi wa habari wa Azam, Nicolaus Mac Ngaiza amefariki kwenye ajali

TANZIA Mwandishi wa habari wa Azam, Nicolaus Mac Ngaiza amefariki kwenye ajali

Toyota tatizo Bei fikiria Vanguard iliyosimama mpaka bongo 35m wakat Xtrail 15m
Hahahahah sasa we unafikiri hizo bei zimeekwa kama kujifurahisha?

Toyota Coaster ya kuagiza tu 40M na kodi inafika 60M huko ila Nissan Civilian 30M tu kuagiza na Kodi!

Nissan unanunua matatizo na yule CEO wao kapigwa ndani kwa ufisadi kwa maana walikuwa wana produce garbage 😅😅😅 kuanzia 2005-2012 hapo yeye anajiongezea mshahara tu!
 
Hahahahah sasa we unafikiri hizo bei zimeekwa kama kujifurahisha?

Toyota Coaster ya kuagiza tu 40M na kodi inafika 60M huko ila Nissan Civilian 30M tu kuagiza na Kodi!

Nissan unanunua matatizo na yule CEO wao kapigwa ndani kwa ufisadi kwa maana walikuwa wana produce garbage 😅😅😅 kuanzia 2005-2012 hapo yeye anajiongezea mshahara tu!
Kumbe jamaa CEO aliloa mvua? Majaji wa Mbele huko hawanaga simile
 
Kumbe jamaa CEO aliloa mvua? Majaji wa Mbele huko hawanaga simile
Mapema sana akaunganisha Nissan na Renault akapiga hela tena dah 😅😅😅 acha akae keko kwanza alijipakia kwenye box kama kifurushi akakimbia Japan kwenda Lebanon😅 baada ya kusanukiwa
 
Halafu inapindukaga kizembe sana hio xtrail!
Hatari Kuna wakat nilikua 120kph najaribu kukata Kona inakataa aisee kuanzia Hapo sikuvuka 100kph. Nilipofika kimji jirani (Manyoni) nikatafuta gesti nikalala
 
Hakuna kitakachosalia chini ya Jua,Apumzike kwa Amani Nicolaus Ngaiza.
 
Hatari Kuna wakat nilikua 120kph najaribu kukata Kona inakataa aisee kuanzia Hapo sikuvuka 100kph. Nilipofika kimji jirani (Manyoni) nikatafuta gesti nikalala
Nissan ina mambo ya kijinga sana! Throttle yake yenyewe ya umeme yani nawaza sensor ikifeli gari haiongezi speed 😅😅😅 imagine unataka u overtake sensor inajamba af scania imeiva mbele lazma unyooke
 
Nissan ina mambo ya kijinga sana! Throttle yake yenyewe ya umeme yani nawaza sensor ikifeli gari haiongezi speed 😅😅😅 imagine unataka u overtake sensor inajamba af scania imeiva mbele lazma unyooke
Kuliko uso-kwa-uso Bora uingie porini
 
Nissan ina mambo ya kijinga sana! Throttle yake yenyewe ya umeme yani nawaza sensor ikifeli gari haiongezi speed 😅😅😅 imagine unataka u overtake sensor inajamba af scania imeiva mbele lazma unyooke
Nilijiweka huko mazima X-trail na wife akang'ang'ania Dualis ila naiuza Xtrail nipate Gari ya juu ama Suzuki Grand Vitara au ISUZU Bighorn
 
My heartfelt condolences to the family and friends of the departed
 
Back
Top Bottom