Hahahahah sasa we unafikiri hizo bei zimeekwa kama kujifurahisha?Toyota tatizo Bei fikiria Vanguard iliyosimama mpaka bongo 35m wakat Xtrail 15m
Hiyo Xtrail inahamasisha Sana kukanyaga wese niliwahi pata Tyre burst usiku mnene porini nikiwa 140kph yaan Ni Mungu tu aliniponya.Na bila shaka alifanya overtake kwenye blindspot yani kimeumana kweri kweri
Halafu inapindukaga kizembe sana hio xtrail!Hiyo Xtrail inahamasisha Sana kukanyaga wese niliwahi pata Tyre burst usiku mnene kipori baada ya ubena Zomozi nikiwa 140kph yaan Ni Mungu tu aliniponya.
Kumbe jamaa CEO aliloa mvua? Majaji wa Mbele huko hawanaga simileHahahahah sasa we unafikiri hizo bei zimeekwa kama kujifurahisha?
Toyota Coaster ya kuagiza tu 40M na kodi inafika 60M huko ila Nissan Civilian 30M tu kuagiza na Kodi!
Nissan unanunua matatizo na yule CEO wao kapigwa ndani kwa ufisadi kwa maana walikuwa wana produce garbage π π π kuanzia 2005-2012 hapo yeye anajiongezea mshahara tu!
Mapema sana akaunganisha Nissan na Renault akapiga hela tena dah π π π acha akae keko kwanza alijipakia kwenye box kama kifurushi akakimbia Japan kwenda Lebanonπ baada ya kusanukiwaKumbe jamaa CEO aliloa mvua? Majaji wa Mbele huko hawanaga simile
Hatari Kuna wakat nilikua 120kph najaribu kukata Kona inakataa aisee kuanzia Hapo sikuvuka 100kph. Nilipofika kimji jirani (Manyoni) nikatafuta gesti nikalalaHalafu inapindukaga kizembe sana hio xtrail!
Hawajamfilisi kweli?Mapema sana akaunganisha Nissan na Renault akapiga hela tena dah π π π acha akae keko kwanza
Nissan ina mambo ya kijinga sana! Throttle yake yenyewe ya umeme yani nawaza sensor ikifeli gari haiongezi speed π π π imagine unataka u overtake sensor inajamba af scania imeiva mbele lazma unyookeHatari Kuna wakat nilikua 120kph najaribu kukata Kona inakataa aisee kuanzia Hapo sikuvuka 100kph. Nilipofika kimji jirani (Manyoni) nikatafuta gesti nikalala
Kichwa chako kipo sawa kweli wewe.Duuh. Wapumzike kwa amani ya bwana. Mbele yetu nyuma yao. Tutaonana mbinguni kwa baba[emoji24][emoji24][emoji1317]
Unapangia watu cha kuandika waliokufa wote wapumzike kwa amani ya bwana. Vipi unataka tuandikeje. Tufundishe kuandika.Kichwa chako kipo sawa kweli wewe.
Kuliko uso-kwa-uso Bora uingie poriniNissan ina mambo ya kijinga sana! Throttle yake yenyewe ya umeme yani nawaza sensor ikifeli gari haiongezi speed π π π imagine unataka u overtake sensor inajamba af scania imeiva mbele lazma unyooke
Nilijiweka huko mazima X-trail na wife akang'ang'ania Dualis ila naiuza Xtrail nipate Gari ya juu ama Suzuki Grand Vitara au ISUZU BighornNissan ina mambo ya kijinga sana! Throttle yake yenyewe ya umeme yani nawaza sensor ikifeli gari haiongezi speed π π π imagine unataka u overtake sensor inajamba af scania imeiva mbele lazma unyooke
Ajali vijana wengi si wazoefu wa masafa. Na over take za kijingaAjali
Corona
UKIMWI
Wachawi
Kisukari
Pressure
Vipigo
Wanadamu kazi tunayo.
R.I.P na pole kwa wafiwa.
Ako ka dualis ndio usiombe yani πNilijiweka huko mazima X-trail na wife akang'ang'ania Dualis ila naiuza Xtrail nipate Gari ya juu ama Suzuki Grand Vitara au ISUZU Bighorn
Hahahah unachocholaKuliko uso-kwa-uso Bora uingie porini
Unamapenzi ya dhati kabisa na chama tawala safi sana kadaCCM HII ITAMALIZA WATU