Mwandishi wa Habari wa Kiitaliano, Angelo d'Orsi adai Mgogoro wa Ukraine ni Vita kati ya NATO dhidi ya Urusi

Huk Luk

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2022
Posts
1,291
Reaction score
15,947
"Anyway, this is a NATO war against Russia..." ameyasema hayo mwanahabari na mwanahistoria Angelo D'Orsi kuhusu mgogoro unaoendelea Ukraine.



Akizungumza na Italian TV, mwandishi huyo pia alikosoa vikwazo vya Magharibi dhidi ya Urusi, ambavyo vinaikumba Ulaya yenyewe. Pia alihoji "the fact" kwamba NATO ni muungano wa kujihami.

"NATO... It behaves like an aggressive military organization, and it has always been so..." vile vile mwanahistoria huyo akasema kua muungano huo (NATO) umekua ukikiuka sheria za kimataifa katika migogolo ya mingi akitolea mfano Iraq, Libya, Syria na Yugoslavia.
 
Huyu nae ataitwa pro Russia, atakamatwa apewe kesi [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…