Mwandishi wa Habari wa Millard Ayo TV adaiwa kutekwa na kunyaganywa vifaa na wasaidi wa Paul Makonda kisa maandamano

Mwandishi wa Habari wa Millard Ayo TV adaiwa kutekwa na kunyaganywa vifaa na wasaidi wa Paul Makonda kisa maandamano

waziri2020

Senior Member
Joined
May 31, 2019
Posts
197
Reaction score
468
Mwandishi wa Milard Ayo wa Jijini Arusha Godfrey Thomas akiwa katika majukumu yake ya kawaida akiwarekodi wananchi walio funga barabara ya Arusha Dodoma.

Kwa madai ya kuchoshwa na vifo vya watoto kugongwa mara kwa mara na kupoteza Maisha ametekwa na kuchukuliwa vifaa vyake vyote vya kazi na kupelekwa pasipo julikana na msadiziwa wa Mkuu wa mkoa Paul Makonda mara baada ya kurekodi maandamano ya wanachi mpaka sasa mwandishi huyo ajulikani alipo na simu yake ukipiga inakatwa bila majibu.

FB_IMG_1726770659485.jpg
 
Sijaelewa, yaani katekwa na Msaidizi wa Makonda mbele ya umati bila Kampani yoyote

Au kilikuwa kikundi cha watu wanaonasibishwa na RC huyo?

Maana mtu mmoja kumteka mtu mmoja ni kazi kweli kweli
Siku hizi hata ukistopishwwa kusalimia inakua umetekwa
 
Back
Top Bottom