Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Ni Burundi mkuuAmbao wako tayar kuamia Rwanda tujuane tuanze mchakato mapemaaaaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Burundi mkuuAmbao wako tayar kuamia Rwanda tujuane tuanze mchakato mapemaaaaa!
Hata vyombo vya anga za juu wakati wa kuitoka atmosphere hakuna shida kimbembe ni wakati wanatokea huko sasa kuingia kwenye blanket linaoitwa atmosphere ambapo ni kuanzia kilomita 40,000 ukiwa juu sasa uelekee duniani.Kuna Siri gani Kati ya kishuka mlima Kilimanjaro na kifo?. Kuna rafiki yangu naye alifariki wakati wanashuka mlima Kilimanjaro.
Uandishi wa habari wa sasa ni kama unasevu jina kwenye simu ya batani.... lazima uandike kwa ufupi iwezekanavyo.View attachment 2446256
Mwandishi wa habari wa TBC mkoani Manyara, Joachim Kapembe amefariki dunia Desemba 13, 2022 akishuka kutoka katika kilele cha Mlima Kilimanjaro.
Kapembe aliungana na Waziri Nape Nnauye na viongozi wengine katika uzinduzi wa huduma ya intaneti kwenye kilele cha mlima huo.
Swahilitimes.
neno siku yako imefika ni lakipuuzi na lakipumbavuBinadamu tunasema mengi Sana
Ndio siku Yao ishafika that's it
Tatizo yeye alikuwa na Kazi ya kuripoti poa TBC zote,kind of fatiqueIla mbona kuna check point nyingi tu, na unapimwa kabla ya kuendelea na check point nyingine, kama hauko fit wanakushauri tu usiendelee.
Kwanini isiwaondoe na wenzake? Tumatembea na Kifo.Bila shaka High altitude disease imeuondoa, apumzike kwa amani
Mshana jr alikuwepo kwenye Msafara?Keshatia doa Royal Tour
RIP
Apumzike kwa aman.
Japo alikua yuko kazini Ila watu wasiwe wanaforce kupanda huo mlima bila kua na mazoezi ya kutosha, au unakuta mtu ana pressure na magonjwa yasiyoambukiza anataka nae akapande..
Nitautafuta, nilipanga mwakani nikapande panapo uzima. Ni dream yangu kupanda huu kwanza kabla ya Everest... ambao sina hakika kama nitarudi 😪kuna stori iko humu kuhusu safari ya kupanda mlima,ukiisoma kwa utulivu hupandi huo mlima.
au unawezaenda ukaghairi njiani,maana wanaofariki sio mtu mmoja.
... unywele mmoja ukishabadilika kuwa mweupe hizo mambo ni kuwaachia vijana wenye nguvu zao.Apumzike kwa aman.
Japo alikua yuko kazini Ila watu wasiwe wanaforce kupanda huo mlima bila kua na mazoezi ya kutosha, au unakuta mtu ana pressure na magonjwa yasiyoambukiza anataka nae akapande..
Nitautafuta, nilipanga mwakani nikapande panapo uzima. Ni dream yangu kupanda huu kwanza kabla ya Everest... ambao sina hakika kama nitarudi [emoji25]