Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenda gym kumbuka upo level ile ile ila kupanda mlima kila siku elevation ina change na kadri unavyopanda kumbuka oxygen inapunguaRIP, poleni mno kwa wafiwa na staff mates wake wote, mkuu ni haki yako kuchangia ila mimi hii issue nimeiona kwa upande wa pili, tumeshuhudia watu walio fit kabisa,gym kila siku na wana drop dead ndani ya gym, pia hapa kuna tatizo kubwa mno,uokoaji wetu pale mlimani bado ni wa kijima, nchi ilipata aibu mno kipindi kile yule celebrate kutoka SA alipofia mlimani wakati uzuzu ule unafanyika wa kumkimbiza chini kwa kutumia mkokoteni, Ile ni aibu na kama nchi hatujifunzi, juzi kati tumeionyesha dunia jinsi ya kuokoa ndege kwa kamba na mitimbwi!
HAPE ama HACENi kweli, lakini kila kifo kina sababu yake. Ndio nilitaka kujua Hawa wanaokufa wakishuka mlima Kilimanjaro hupatwa na Jambo gani?
hakuna upuuzi wala upumbavu siku yako ikifika unaondoka tu.neno siku yako imefika ni lakipuuzi na lakipumbavu
Msukumo wa damu ukiwa kileleni ni mkubwa kuliko unapokuwa huku chini, sasa kama hauko vizuri unapata mushkeli unapobadili mazingira.Kuna Siri gani Kati ya kishuka mlima Kilimanjaro na kifo?. Kuna rafiki yangu naye alifariki wakati wanashuka mlima Kilimanjaro.
dini zimewafanya muwe ma mbumbumbuhakuna upuuzi wala upumbavu siku yako ikifika unaondoka tu.
Hapo kwenye Km 40,000, rekebisha, ni chini ya Km 400Hata vyombo vya anga za juu wakati wa kuitoka atmosphere hakuna shida kimbembe ni wakati wanatokea huko sasa kuingia kwenye blanket linaoitwa atmosphere ambapo ni kuanzia kilomita 40,000 ukiwa juu sasa uelekee duniani.
Na ndio maana hata vimondo huwa vinadondoka kila siku lakini havifui dafu vinaungua na kuwa majivu sisi huku hatuwezi jua lakini duniani kote vimajivu vinadondoka.
Chombo cha juzi tu cha Orion kilichokwenda mwezini ukikiangalia pale baharini kilipotua kimebabuka mno hebu tuchunguze hapa kulikoni
mbumbumbu ni wewe ambaye hutaki kuukubali ukweli.dini zimewafanya muwe ma mbumbumbu
Kwa maeleo ya Gerson msigwa.Kuna Siri gani Kati ya kishuka mlima Kilimanjaro na kifo?. Kuna rafiki yangu naye alifariki wakati wanashuka mlima Kilimanjaro.
kuaminishwa ndio ukwelimbumbumbu ni wewe ambaye hutaki kuukubali ukweli.