GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Hivi kati ya Diblo Dibala na Dally Kimoko nani ni HATARI zaidi Mkuu?Genta bwana,eti anasema Gitaa lilaumiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kati ya Diblo Dibala na Dally Kimoko nani ni HATARI zaidi Mkuu?Genta bwana,eti anasema Gitaa lilaumiwe
Ni kwa wana habari tu au kwa wadada wote vijana ???Moderators badilisheni Kichwa cha Habari muwezavyo ila bado nasisitiza Waandishi wa Habari nchini Tanzania hasa wa Kike ( Dada zangu / zetu ) kwa Upendo mkubwa tu nilionao Kwenu na nikiwa kama Mdau Tukuka wa Tasnia hii nawaomba kuweni makini sana na narudia tena nawaomba kuweni makini sana kwani tunawapenda.
Nimemaliza.
Una maswali ya 'Kikuda' halafu ya Kinafiki sana. Ni kwa Watanzania wote wakiwemo hadi na wana Ukoo wako Tukuka.Ni kwa wana habari tu au kwa wadada wote vijana ???
Mkuu punguza munkari, kwanza nikujibu Dally Kimoko ni zaidi ya Diblo Dibala, nimeuliza kwa wana habari kwa sababu naona umewatenga wanasanii wa bongofleva maana wanafanya kazi pamoja hao. Afadhali umeweka hapo ni kwa Watanzania wote kwiikwiikwii.Una maswali ya 'Kikuda' halafu ya Kinafiki sana. Ni kwa Watanzania wote wakiwemo hadi na wana Ukoo wako Tukuka.
GENTAMYCINE bila shaka wamekusikia na wakiziba masikio watapukutika
Mwandishi wa HabariLEO, Theopista Nsanzugwanko amefariki dunia leo majira ya saa 3 asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Taifa Muhimbili, familia imesema.
Theopista amekuwa akiugua kwa muda mrefu, na taarifa zaidi kuhusu mipango ya mazishi itatolewa baadaye.
BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe.
Chanzo: habarileo_tz
Na si tu hawa wa katika Magazeti au Redio au Tv bali hata wale wa Kike walio katika Mitandao na Blogs mbalimbali.
Na watapukutika Kweli hivyo Wewe waache tu wasinisikilize Mdau wao ambao nakujua huko katika Media in and out.GENTAMYCINE bila shaka wamekusikia na wakiziba masikio watapukutika
Kuna dada mtu naye alikufa katika mazingira kama hayo
Mwandishi wa HabariLEO, Theopista Nsanzugwanko amefariki dunia leo majira ya saa 3 asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Taifa Muhimbili, familia imesema.
Theopista amekuwa akiugua kwa muda mrefu, na taarifa zaidi kuhusu mipango ya mazishi itatolewa baadaye.
BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe.
Chanzo: habarileo_tz
Na si tu hawa wa katika Magazeti au Redio au Tv bali hata wale wa Kike walio katika Mitandao na Blogs mbalimbali.
Nae alikuwa yupo kwenye tasnia ya habari?Kuna dada mtu naye alikufa katika mazingira kama hayo
Nilimjua kupitia mwanahabari rafiki yakeNae alikuwa yupo kwenye tasnia ya habari?
Umalaria unameza watu I see.Nilimjua kupitia mwanahabari rafiki yake
Mtani acha nawe Maswali yako ya Kibange bange sawa? au nawe leo umeonja kidogo Jani la kule Kwenu kwa Washamba?
Hapana chezea Umaralia ww!Theopista amekuwa akiugua kwa muda mrefu,
Tatizo lilianzia kwenye huo mtaa.Masikini namfahamu huyu Marehemu toka akifanya kazi kule Kijitonyama Mtaa wa Bukoba, kwenye haya magazeti machanga,miaka ya 2000 mwanzoni..dah msalimie Josephine
RIP Theo
Huyo Dada Mtu Kaka yake sasa yupo Mwananchi japo alishapita sana tu katika Media ya Mbowe na yule Tapeli wa Dira.Kuna dada mtu naye alikufa katika mazingira kama hayo
Mtani wasilolijua wengine ni heshima tuliyonayo ya toka enzi za mababu zetuArovera ni Mtani wangu na huwa tunapenda Kuzinguana na hata akinipiga Madongo vipi huwa Sikuchukii kwani namkubali pia yuko vyedi Kichwani.