TANZIA Mwandishi wa HabariLEO, Theopista Nsanzugwanko afariki dunia

Ni kwa wana habari tu au kwa wadada wote vijana ???
 
Una maswali ya 'Kikuda' halafu ya Kinafiki sana. Ni kwa Watanzania wote wakiwemo hadi na wana Ukoo wako Tukuka.
Mkuu punguza munkari, kwanza nikujibu Dally Kimoko ni zaidi ya Diblo Dibala, nimeuliza kwa wana habari kwa sababu naona umewatenga wanasanii wa bongofleva maana wanafanya kazi pamoja hao. Afadhali umeweka hapo ni kwa Watanzania wote kwiikwiikwii.
 
GENTAMYCINE bila shaka wamekusikia na wakiziba masikio watapukutika
 
Kuna dada mtu naye alikufa katika mazingira kama hayo
 
Masikini namfahamu huyu Marehemu toka akifanya kazi kule Kijitonyama Mtaa wa Bukoba, kwenye haya magazeti machanga,miaka ya 2000 mwanzoni..dah msalimie Josephine
RIP Theo
 
Nini kimekuvuruga mazee? Mbona mkali mkali sana πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ 😎 😎 😎 😎
Arovera ni Mtani wangu na huwa tunapenda Kuzinguana na hata akinipiga Madongo vipi huwa Sikuchukii kwani namkubali pia yuko vyedi Kichwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…