Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Mwandishi wa @MwananchiNews apotea. Siku 10 hajulikani alipo. Alikuwa anafanya uchunguzi wa Habari nyeti. Nataraji kesho tutajua zaidi - ZZK.
KUHUSU AZORY GWANDA
Azory Gwanda alizaliwa 1975 na alikuwa ni mwandishi wa habari wa Kampuni ya ya Mwananchi Communications iliyopo jijini Dar es Salaam.
Azory Gwanda alikuwa ana umri wa miaka 42 wakati wa kutoweka kwake. Gwanda alikuwa akiishi katika shamba karibu na Kibiti, Tanzania, na mkewe Anna Pinoni. Mama yake, Eva Mpulumba kutoka kijiji cha Msimba katika Mkoa wa Kigoma, aliishi na familia yake yote, lakini ndiye ndugu pekee aliyehojiwa kuhusu kupotea kwa Gwanda.
Wakati akifanya kazi katika Kampuni ya Mwananchi kama mwandishi wa habari wa kujitegemea, Gwanda aliandika mfululizo wa habari za mauaji yaliyokuwa yakitekelezwa huko. Inadhaniwa utekaji wake unahusiana na mfululizo wa habari za mauaji ambazo Gwanda alikuwa akiziandika.
Kupotea kwa Gwanda kumechochea mashirika mengi kujitolea kusimamia na kulinda haki za waandishi wa habari ulimwenguni kote. Haukupita hata mwezi mmoja baada ya kutoweka kwa Gwanda, shirika MISA Tanzania ilitoa tamko la kufadhaika kwao juu ya ukosefu wa taarifa kamili kuhusiana na kutoweka kwa Gwanda, na kukiita kitendo hicho kuwa "shambulio la uhuru wa waandishi wa habari ambalo lazima lihukumiwe"
Theophil Makunga, mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri wa Tanzania, alisema watu wenye nia mbaya na Gwanda na taifa kwa ujumla walikuwa wakiendelea kufanya uovu wao hata kwa waandishi wa habari akiwemo Gwanda.
PIA, SOMA:
- Uelewa wangu juu ya kundi la watu wasiojulikana
~ Matukio ya Watu kupotea na wengine kudaiwa kutekwa, nini kinaendelea kuhusu usalama wa raia
- Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
KUHUSU AZORY GWANDA
Azory Gwanda alizaliwa 1975 na alikuwa ni mwandishi wa habari wa Kampuni ya ya Mwananchi Communications iliyopo jijini Dar es Salaam.
Azory Gwanda alikuwa ana umri wa miaka 42 wakati wa kutoweka kwake. Gwanda alikuwa akiishi katika shamba karibu na Kibiti, Tanzania, na mkewe Anna Pinoni. Mama yake, Eva Mpulumba kutoka kijiji cha Msimba katika Mkoa wa Kigoma, aliishi na familia yake yote, lakini ndiye ndugu pekee aliyehojiwa kuhusu kupotea kwa Gwanda.
Wakati akifanya kazi katika Kampuni ya Mwananchi kama mwandishi wa habari wa kujitegemea, Gwanda aliandika mfululizo wa habari za mauaji yaliyokuwa yakitekelezwa huko. Inadhaniwa utekaji wake unahusiana na mfululizo wa habari za mauaji ambazo Gwanda alikuwa akiziandika.
Kupotea kwa Gwanda kumechochea mashirika mengi kujitolea kusimamia na kulinda haki za waandishi wa habari ulimwenguni kote. Haukupita hata mwezi mmoja baada ya kutoweka kwa Gwanda, shirika MISA Tanzania ilitoa tamko la kufadhaika kwao juu ya ukosefu wa taarifa kamili kuhusiana na kutoweka kwa Gwanda, na kukiita kitendo hicho kuwa "shambulio la uhuru wa waandishi wa habari ambalo lazima lihukumiwe"
Theophil Makunga, mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri wa Tanzania, alisema watu wenye nia mbaya na Gwanda na taifa kwa ujumla walikuwa wakiendelea kufanya uovu wao hata kwa waandishi wa habari akiwemo Gwanda.
PIA, SOMA:
- Where is Azory Gwanda?
- Waziri Lugola: Wizara haihusiki na kupotea kwa Mwandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communication Limited, Azory Gwanda
- Miaka miwili ya kupotea kwa mwandishi wa habari za kiuchunguzi Azory Gwanda
- Serikali ya Tanzania yasema polisi bado wanachunguza kupotea kwa Mwandishi wa habari Azory Gwanda
Prof. Palamagamba Kabudi has admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory Gwanda has “disappeared and died”
- Mwakyembe azungumzia kauli ya Kabudi kuhusu Azory Gwanda
- Waziri Kabudi akanusha kuthibitisha kifo cha Mwanahabari, Azory Gwanda
- Mwanahabari wa Tanzania aliyetoweka Azory Gwanda aorodheshwa miongoni mwa visa 10 vya wanahabari duniani vinavyohitaji dharura
- Wazazi wa Azory Gwanda watuma barua kwa Rais Samia Suluhu Hassani
- Mwandishi wa Habari Luqman Maloto afungua kesi dhidi ya DCI na DPP kisa Tundu Lissu, Azory Gwanda na Ben Saanane
- Mwanahabari Erick Kabendera akamatwa na Polisi nyumbani kwake; yadaiwa anaendelea na Mahojiano
- Absalom Kibanda (Mwenyekiti wa Jukwa la Wahariri) avamiwa na watu wasiojulikana na kujeruhiwa
- Mhariri Mtendaji wa Gazeti la MwanaHALISI, Saed Kubenea avamiwa na kumwagiwa tindikali akiwa ofisini kwake
- Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA
- Mchora katuni Opptertus John Fwema ashikiliwa na Polisi kwa Makosa ya Mtandao
- Mwandishi wa Mwananchi Jesse Mikofu ashambuliwa na askari akitekeleza majukumu yake
- Mwandishi wa Habari, Kazimbaya Makwega ashikiliwa na Polisi, asafirishwa kutoka Mwanza hadi Dodoma
- Mwandishi wa Watetezi TV mbaroni kwa madai ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni juu ya watuhumiwa kulazimishwa kulawitiana Kituo cha Polisi
- Uelewa wangu juu ya kundi la watu wasiojulikana
~ Matukio ya Watu kupotea na wengine kudaiwa kutekwa, nini kinaendelea kuhusu usalama wa raia
- Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana