Mwandishi wa kampuni ya Mwananchi Communications (MCL), Azory Gwanda apotea. Ni siku 10 na hajulikani alipo

Mwandishi wa kampuni ya Mwananchi Communications (MCL), Azory Gwanda apotea. Ni siku 10 na hajulikani alipo

Nchi hii kwa sasa sio salama tena!! Kuishi nchi hii kwa usalama ujue kusema ndio mzee na kusifia walioko madarakani tu.
 
Dikteta Nduli Idd Amin alianza hivi hivi, na baadaye akawa hata hajifichi tena. Naona Tanzania tunaenda huko huko.

Dawa ni moja tu. Ni kulipiga joka lililotuingilia na kutuvamia, na Watanzania uwezo wa kulipiga tunao, nia ya kulipiga tunayo na sababu za kulipiga tunazo. Tunataka dunia ituelewe na isituulize.
 
DQNTk-tWkAAGqUn.jpg:large



Huyo mwandishi wa habari ana kazi gani Kibiti? Kwa maelezo ya mkewe amekuwa anachukuliwa na 'watu' huko Kibiti, sasa swali alikuwa anachukuliwa na nani na alikuwa anapelekwa wapi na kwa kazi gani? KIBITI?

Gazeti la Mwananchi nalo lilikuwa na kazi gani KIBITI?
 
Mwenyezi Mungu msimamie huyo Mwandishi huko aliko..

Mfanyie wepesi Inshallah..

Wape faraja familia yake najua wako kwenye wakati mgumu sana...

Baba Mungu simama kati yao tenda miujiza ili mwandishi apatikane akiwa salama...Ameen.
 
Huyo mwandishi wa habari ana kazi gani Kibiti? Kwa maelezo ya mkewe amekuwa anachukuliwa na 'watu' huko Kibiti, sasa swali alikuwa anachukuliwa na nani na alikuwa anapelekwa wapi na kwa kazi gani? KIBITI?

Gazeti la Mwananchi nalo lilikuwa na kazi gani KIBITI?
Ficha ujinga wako! Ni kawaida kwa chombo cha habari kua na reporter popote duniani.
 
Huyo mwandishi wa habari ana kazi gani Kibiti? Kwa maelezo ya mkewe amekuwa anachukuliwa na 'watu' huko Kibiti, sasa swali alikuwa anachukuliwa na nani na alikuwa anapelekwa wapi na kwa kazi gani? KIBITI?

Gazeti la Mwananchi nalo lilikuwa na kazi gani KIBITI?
Kwani Kibiti kunapatikana kazi gani?
 
Uhuru wa 1961 tulipewa bure katiba tukapewa bure na zaidi tukapewa pogba bure acha uhuru we kufikiri nao tuletewe bure
 
Back
Top Bottom