Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,699
Hmm! Sijui tunaelekea wapi?...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama jeshi lilikuwepo na watoto weng kutekwa na kuwazuia na kuzuia ndugu wazazi kuandamana,kuweka vikao wala kueleza isia zao zaidi kuzui vyombo vya habar kujiingiza katika habar za kibiti ni sahihi,wanaficha nini?Huyo mwandishi wa habari ana kazi gani Kibiti? Kwa maelezo ya mkewe amekuwa anachukuliwa na 'watu' huko Kibiti, sasa swali alikuwa anachukuliwa na nani na alikuwa anapelekwa wapi na kwa kazi gani? KIBITI?
Gazeti la Mwananchi nalo lilikuwa na kazi gani KIBITI?
Acha dozi itukolee labda akili zinaweza kutukaa sawa.Kama kawaida ya wenye nchi washafanya yao baada ya kukosolewa
Mkuuu,kwamba umeamza kuiona hiyo habari kwenye Washington post kabla ya taarifa ya mwananchi?.nilichoona mimi kwanza ni taarifa ya mwananchi.Alikuwa akifuatilia habari gani na kwani waanze kuripoti watu wa bara mbali na siyo huku ?
Mkuuu,kwamba umeamza kuiona hiyo habari kwenye Washington post kabla ya taarifa ya mwananchi?.nilichoona mimi kwanza ni taarifa ya mwananchi.