Mwandishi wa kampuni ya Mwananchi Communications (MCL), Azory Gwanda apotea. Ni siku 10 na hajulikani alipo

Mwandishi wa kampuni ya Mwananchi Communications (MCL), Azory Gwanda apotea. Ni siku 10 na hajulikani alipo

Tanzania nchi yangu..
Anyway, labda aliugua kichaa ghafla na kutoroka nyumbani.. Ndugu wajaribu kumtafuta kwenye stand za mabasi na majalalani..

Wee mkuu Mungu anakuona..
 
Tanzania nchi yangu..
Anyway, labda aliugua kichaa ghafla na kutoroka nyumbani.. Ndugu wajaribu kumtafuta kwenye stand za mabasi na majalalani..

Wee mkuu Mungu anakuona..
Mungu anamuona nani?
 
Siku hizi kuokota maiti kwenye viroba,na kutekwa kwa wananchi ni jambo la kawaida kama vile nchi ya rwanda
 
Watanzania kwa kupoteza kumbukumbu
Matakatifu alishasema dodoma wakati anakabiziwa uenyekiti wa ccm kuwa angejuwa ni yeye mwenye kiti wa ccm alfu wakajitokeza watu wakaimba wana imani na ccm angeakikisha watu wote wanapotea
Sasa mwandishi kupote mnashangaa?badala mkamulize mwandishi amepotelea wapi?
 
Unknown people strike again!!

Tukubali kuwa wananchi wa kawaida, blogers, wanasiasa, na wakosoaji wengine hawapo salama ktk Tz hii ya awamu ya tano. Lkn kwa nini iwe hivyo? mtu apotezwe bure bure tu na watu wasojuilikana? watawala wakumbuke kuwa histora hujirudia. Amerika ya kusini ilipitia enzi mbaya sana ya raia na wakosoaji wa tawala dhalimu na madikteta wote wa amerika ya kusini waliishia vibaya ama walipunduliwa ama waliishia ktk mahakama ya uhalifiu wa kivita. Historia na wakati ni mwalimu mzuri. Ktk leadhership kuna kuiga best practice ya aina ya viongozi wanaofanya vyema ktk kuongoza nchi zao. Lakn sisi Tz kwa bahati mbaya viongozi wetu wanaiga leadership approaches za Rwanda na Uganda na kusahau kuwa nchi hizi tatu zimepitia uzoefu tofauti wa kisiasa.

Inasikitisha sana kusoma kila siku ktk media kuwa eti huyu kapotea, huyu kapigwa risasa 32, huyo kafichwa na huyu kabinywa mapumbu na kutolea meno kwa pakari alimradi ni shida. Viongozi na watawala wakumbuke kuwa mazingira salama na kulinda haki za kila kundi ndyo njia pekee tutakayojenga Tanzania salama. Vitisho, mauaji na kupotea kwa wananchi wasio na hatia vinabomoa nchi. Abadan havijengi. Bila ya kuheshimu haki hakuna Amani( Rejea statements za Mr George Owel). wala tusijidanganye. Binadamu ni kama mpira. Kiwango cha uvumilivu kina mwisho pale maximum point of elasticity inapofikia ndo inakuwa mbaya zaidi kwa sababu anayeoonewa akivaa koti la mnyama anakuwa hatari na mbaya zaidi.

Wanaofanya vitendo hivi wasijisahau. Tz hakutakuwa na truth and reconciliation committee wakati mambo yatakapogeuka. Ubaya hulipwa kwa ubaya. Hatujazoea vitisho hivi ndo tunaviona ktk awamu hii. Naomba viongozi wa dini wasijifiche kama mbuni watoke mafichoni na wakemee uoza huu na sio kukaa kimya kama kwamba hakuna baya lolote. Akina Shiekh Mussa wa dsm, Kadinali Pengo na viongozi wengine wote. Nawapendeni na ninakuheshimuni sana lkn ifike wakati mpapai tuite mpapai na sio mgomba. Tumieni influence mliyonayo kuiwka tanzania sehemu salama.
 
Tukubali kuwa wananchi wa kawaida, blogers, wanasiasa, na wakosoaji wengine hawapo salama ktk Tz hii ya awamu ya tano. Lkn kwa nini iwe hivyo? mtu apotezwe bure bure tu na watu wasojuilikana? watawala wakumbuke kuwa histora hujirudia. Amerika ya kusini ilipitia enzi mbaya sana ya raia na wakosoaji wa tawala dhalimu na madikteta wote wa amerika ya kusini waliishia vibaya ama walipunduliwa ama waliishia ktk mahakama ya uhalifiu wa kivita. Historia na wakati ni mwalimu mzuri. Ktk leadhership kuna kuiga best practice ya aina ya viongozi wanaofanya vyema ktk kuongoza nchi zao. Lakn sisi Tz kwa bahati mbaya viongozi wetu wanaiga leadership approaches za Rwanda na Uganda na kusahau kuwa nchi hizi tatu zimepitia uzoefu tofauti wa kisiasa.

Inasikitisha sana kusoma kila siku ktk media kuwa eti huyu kapotea, huyu kapigwa risasa 32, huyo kafichwa na huyu kabinywa mapumbu na kutolea meno kwa pakari alimradi ni shida. Viongozi na watawala wakumbuke kuwa mazingira salama na kulinda haki za kila kundi ndyo njia pekee tutakayojenga Tanzania salama. Vitisho, mauaji na kupotea kwa wananchi wasio na hatia vinabomoa nchi. Abadan havijengi. Bila ya kuheshimu haki hakuna Amani( Rejea statements za Mr George Owel). wala tusijidanganye. Binadamu ni kama mpira. Kiwango cha uvumilivu kina mwisho pale maximum point of elasticity inapofikia ndo inakuwa mbaya zaidi kwa sababu anayeoonewa akivaa koti la mnyama anakuwa hatari na mbaya zaidi.

Wanaofanya vitendo hivi wasijisahau. Tz hakutakuwa na truth and reconciliation committee wakati mambo yatakapogeuka. Ubaya hulipwa kwa ubaya. Hatujazoea vitisho hivi ndo tunaviona ktk awamu hii. Naomba viongozi wa dini wasijifiche kama mbuni watoke mafichoni na wakemee uoza huu na sio kukaa kimya kama kwamba hakuna baya lolote. Akina Shiekh Mussa wa dsm, Kadinali Pengo na viongozi wengine wote. Nawapendeni na ninakuheshimuni sana lkn ifike wakati mpapai tuite mpapai na sio mgomba. Tumieni influence mliyonayo kuiwka tanzania sehemu salama.

Mmaaa!!! dah bonge la onyo hilo duuuh we noma sana
 
Back
Top Bottom