Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari. Ni Visa vya Kuogofya Mno hivi..!Aiseeeee!!!!
Mengi sana. Ngoja tusikilize Lbda Bashite atasema atapatikana kbla ya jumapili.Nawaza mpaka 2020 tutakua tumejionea mangapi.
Ndio inavyokuwa mara zote .WAKIISHA WATATEKANA WENYEWE
Hata halipo huru tenaHuku tunapoelekea hata hili jukwaa litafungwa tu.
Halina muda mrefuHuku tunapoelekea hata hili jukwaa litafungwa tu.
[emoji4] unaruka mkojo unakanyaga maviHuko tunakoelekea, bora nihamie Zimbabwe...
Hiyo mbona iko wazi muda wowote tutalisahauHuku tunapoelekea hata hili jukwaa litafungwa tu.
Hii nchi Sasa imefika pabaya, jemedari anaogopa hata kivuli chakeMwandishi wa @MwananchiNews apotea. Siku 10 hajulikani alipo. Alikuwa anafanya uchunguzi wa Habari nyeti. Nataraji kesho tutajua zaidi - ZZK.
View attachment 643853
Kuna mswada unatakiwa kwenda bungeni kwamba wamiliki wa mitandao ya kijamii wanatakiwa wawatambue wateja wao.....,Halina muda mrefu
Anafikiri atatawala milele..Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga, inaweza isiwe leo wala kesho, ila kuna siku ukiwa nafuraha tere na amani na maisha bora wewe na familia yako, tena ukiwa umesahau kabisa madhambi yako. Hiyo siku ikifika utalipa deni lako lote kwa ukamilifu. Tena wewe na familia yako! Angalia sana nyendo zako sizonje, or you and your children will pay the price one day.
Hakuna namna 2020 tuna delete CCMKuna mswada unatakiwa kwenda bungeni kwamba wamiliki wa mitandao ya kijamii wanatakiwa wawatambue wateja wao.....,
Kwa haraka haraka hapo ni JF inatafutwa...!!!
Kwahyo bwana babati lzm Mexence Mello akutambue akishindwa hili jamvi lzm lifungiwe..