Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mbona nchi iliongozwa na Mwendawazimu na legacy zake za kipimbavu kama nyinyi.Hao star tv hawajielewi, unawaalikaje wavuta bangi kwenye kipindi Cha heshima Kama hicho?
Wewe ni mpumbafu mwili mzima, Sugu na bangi wapi na wapiHao star tv hawajielewi, unawaalikaje wavuta bangi kwenye kipindi Cha heshima Kama hicho?
Taarifa zinaonyesha kwamba anafikiria kujiuzulu ubunge... Tulia aanze kufangasha asubuhi na mapema; hana chake Mbeya next election maana mbeleko haipo tena. Atafurushwa fasta sana kabla jogoo hajawika mara ya pili! Anyway, kwa mbeleko ya jinsia ana some options, kupitia viti maalumu (CCM hawatamtupa), kupitia viti vya Rais, kuwa mgombea pekee uspika kupitia CCM kwa kigezo cha "ni zamu ya mwanamke"!
pole kwa mawe mkuuHao star tv hawajielewi, unawaalikaje wavuta bangi kwenye kipindi Cha heshima Kama hicho?
We dada upo kwenye heat, subiri kidogoMbona nchi iliongozwa na Mwendawazimu na legacy zake za kipimbavu kama nyinyi.
Kaa kimya , ficha ujinga wako.
We ndio mpumbavu, huyo sugu bangi kwake ni kama chakulaWewe ni mpumbafu mwili mzima, Sugu na bangi wapi na wapi
Uchaguzi upi Tena na chadema washasema kuwa hawatashiriki uchaguzi wowote?... Tulia aanze kufangasha asubuhi na mapema; hana chake Mbeya next election maana mbeleko haipo tena. Atafurushwa fasta sana kabla jogoo hajawika mara ya pili! Anyway, kwa mbeleko ya jinsia ana some options, kupitia viti maalumu (CCM hawatamtupa), kupitia viti vya Rais, kuwa mgombea pekee uspika kupitia CCM kwa kigezo cha "ni zamu ya mwanamke"!
Unapotosha kwa faida ya nani ?Uchaguzi upi Tena na chadema washasema kuwa hawatashiriki uchaguzi wowote?
Umeolewa au bado? Nahitaj kuongeza mke wa piliSawa bi.mdogo
Mlikuwa mnatania?Unapotosha kwa faida ya nani ?
Chawa wa Nikki anawezaje kuoa ?Umeolewa au bado? Nahitaj kuongeza mke wa pili
Nikiwaangalia wabunge wakiwa bungeni nakumbuka mapanga yalivyo tembezwa na mbinu za kibandidu walizozitumia wakati wa kurudisha form na wakati wa kuhesabu kura aibuHao star tv hawajielewi, unawaalikaje wavuta bangi kwenye kipindi Cha heshima Kama hicho?
Kiboko yake FaizaSugu kama Sugu, hanaga break na hakopeshi.
Umeolewa au bado? Nahitaj kuongeza mke wa pili