Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hahaaa!!!!mana anajofanya kumjua sana sugu nadhn anataka kusuguliwa
Chawa wa Nikki anawezaje kuoa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa wa Nikki anawezaje kuoa ?
Huyu mvutaji toka yuko BP mlinzi, kabla hajaenda UK for your informationWewe ni mpumbafu mwili mzima, Sugu na bangi wapi na wapi
Tume ya uchaguzi imebadilika mkuu?maana mbeleko haipo tena
Mara nyingi sana STAR TV wakiona ccm inadhalilika wanakata matangazoNimemsikiliza huo mjadala vizuri, Sugu amenyoosha maelezo vizuri, mpaka kuna muda Star tv wakakata hicho kipindi.
Kabisa.Mara nyingi sana STAR TV wakiona ccm inadhalilika wanakata matangazo
😆😆😆Sugu kama sugu hajawahi niangusha sugu moto Chiniiiiiii
Niki Mkeo anamegwa na MadingiUmeolewa au bado? Nahitaj kuongeza mke wa pili
... wapi nimetaja Chadema? Kwani Chadema ndio wanaendesha uchaguzi?Uchaguzi upi Tena na chadema washasema kuwa hawatashiriki uchaguzi wowote?
... isipobadilika itabadilishwa! Siku hazigandi; jana sio leo wala leo sio kesho Mkuu.Tume ya uchaguzi imebadilika mkuu?
Swadakta !... isipobadilika itabadilishwa! Siku hazigandi; jana sio leo wala leo sio kesho Mkuu.
[emoji736][emoji817][emoji322][emoji2996][emoji2996][emoji2996]... isipobadilika itabadilishwa! Siku hazigandi; jana sio leo wala leo sio kesho Mkuu.
Ulitaka aalike wale majunya wa CCM ?Hao star tv hawajielewi, unawaalikaje wavuta bangi kwenye kipindi Cha heshima Kama hicho?
Kama wewe kuliwa mtungo ilivyo hobby yako.We ndio mpumbavu, huyo sugu bangi kwake ni kama chakula
Na wewe si ule mbona waona wivuWe ndio mpumbavu, huyo sugu bangi kwake ni kama chakula
Angepeleka kesi kwenye mahakama gani? Hii iliyokuwa ikitoa hukumu kwa wapinzani zinazotolewa kwa kumwogopa jiwe? Hukumu zenyewe hizi zinazopukutishwa na mfumo wa haki wa sasa? Ndio ulitaka apeleke mashtaka huko?Kama SUGU aliibiwa "kura" na anao ushahidi kuwa uchaguzi ulikuwa rigged, kwanini hakufungua kesi mahakamani??
Tumewahi kushuhudia matokeo ya Ubunge yakipingwa mahakamani na wapinzani wakashinda, mfano ni Godbless Lema mwaka 2010 rejea kesi yake na Batlida.
Sasa hawa wanaopiga kelele kuwa uchaguzi haukuwa wa haki kwanini hawakwenda Mahakamani kudai haki zao??????????????????????
Wanafiki wakubwa!!
Hoja yako ni dhaifu sana.Angepeleka kesi kwenye mahakama gani? Hii iliyokuwa ikitoa hukumu kwa wapinzani zinazotolewa kwa kumwogopa jiwe? Hukumu zenyewe hizi zinazopukutishwa na mfumo wa haki wa sasa? Ndio ulitaka apeleke mashtaka huko?