MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Mahakama zipi wakati wa jiwe?Kama SUGU aliibiwa "kura" na anao ushahidi kuwa uchaguzi ulikuwa rigged, kwanini hakufungua kesi mahakamani??
Tumewahi kushuhudia matokeo ya Ubunge yakipingwa mahakamani na wapinzani wakashinda, mfano ni Godbless Lema mwaka 2010 rejea kesi yake na Batlida.
Sasa hawa wanaopiga kelele kuwa uchaguzi haukuwa wa haki kwanini hawakwenda Mahakamani kudai haki zao??????????????????????
Wanafiki wakubwa!!
Hivi una akili timamu kweli?Hoja yako ni dhaifu sana.
Mbona hao akina Mbowe walikata rufaa walipohukumiwa kulipa fidia baada ya zile vurugu za Kinondoni. Je, hiyo rufaa walikata wakati wa utawala wa nani?
Mkuu vipi leo Nikki Wa Pili ameamkaje?Hao star tv hawajielewi, unawaalikaje wavuta bangi kwenye kipindi Cha heshima Kama hicho?
Kwenye mahakama gani?Kunyimwa fomu ni ushahidi pia na unaweza ukatumika mahakamani. Na ndiyo maana nawauliza kwanini hamkufungua kesi mahakamani?
Tatizo lenu CHADEMA mmezoea kukaririshwa ujinga na viongozi wenu na ninyi mnakariri tu kama vitoto vya chekechea.
Mimi nakwambia hivi hao CHADEMA kama wangekuwa na ushahidi wa kuibiwa kura wasingeacha kufungua kesi Mahakamani kupinga matokeo ya Ubunge ambayo kisheria yanaruhusiwa kupingwa.
Jibu ni dogo, hawakwenda Mahakamani sababu hawakuwa na ushahidi wa madai yao.
Mtu kama Mbowe akose Ubunge kwa kudai kuibiwa halafu asiende Mahakamani? Seriously??
Mtu kama Zitto Kabwe aibiwe kura halafu asiende mahakamani??
Endeleeni kushikiwa akili na wanasiasa "wahuni" .
ππππMkuu vipi leo Nikki Wa Pili ameamkaje?
Je na Mama Zuri anaendeleaje?
Ili kuonyesha busara zako, waonaje ukipeleka polisi swala hilo ukiwa na vielelezo vyako?We ndio mpumbavu, huyo sugu bangi kwake ni kama chakula
Yafaa ujipe faraja ya kweli bila kujidanganya.Sasa mbona mnajichanganya na hoja zenu dhaifu?
Kama haki ya rufaa inaweza kupatikana ndani ya mfumo huo huo dhaifu iweje basi haki zingine zisipatikane kama ushahidi upo??
Tusidanganye hata kidogo. Hao akina SUGU hawakuibiwa kura, walishindwa kihalali na ndiyo maana hawakuwa na ushahidi wa kwenda mahakamani kupinga matokeo ya Ubunge.
Elewa kiswahili hata kama una mahaba na jiwe. Rufaa haitegemei hata kama unaekata rufaa kwake ni shetani. Rufaa inatoka kwa mtu sio kwa mkatiwa rufaa. Get that into your thin head. Yule ameondoka tayari kila kitu kitaenda kwa haki sasaSasa mbona mnajichanganya na hoja zenu dhaifu?
Kama haki ya rufaa inaweza kupatikana ndani ya mfumo huo huo dhaifu iweje basi haki zingine zisipatikane kama ushahidi upo??
Tusidanganye hata kidogo. Hao akina SUGU hawakuibiwa kura, walishindwa kihalali na ndiyo maana hawakuwa na ushahidi wa kwenda mahakamani kupinga matokeo ya Ubunge.
mahakama zipi mkuu?Kama SUGU aliibiwa "kura" na anao ushahidi kuwa uchaguzi ulikuwa rigged, kwanini hakufungua kesi mahakamani??
Tumewahi kushuhudia matokeo ya Ubunge yakipingwa mahakamani na wapinzani wakashinda, mfano ni Godbless Lema mwaka 2010 rejea kesi yake na Batlida.
Sasa hawa wanaopiga kelele kuwa uchaguzi haukuwa wa haki kwanini hawakwenda Mahakamani kudai haki zao??????????????????????
Wanafiki wakubwa!!
Acha kuniuliza maswali ya kitoto wewe. Huyo Sugu alipohukumiwa wakati ule hakukata rufaa na kushinda kesi? Je, hiyo ilikuwa mahakama ya Mbowe au ilikuwa chini ya utawala wa Magufuli??Kwenye mahakama gani?
Nonsense!Elewa kiswahili hata kama una mahaba na jiwe. Rufaa haitegemei hata kama unaekata rufaa kwake ni shetani. Rufaa inatoka kwa mtu sio kwa mkatiwa rufaa. Get that into your thin head. Yule ameondoka tayari kila kitu kitaenda kwa haki sasa
mahakama zipi mkuu?
au unazungumzia mahakama ile ya magufuli iliyo wabambikizia kesi watu
Huna hoja wewe.mahakama zipi mkuu?
au unazungumzia mahakama ile ya magufuli iliyo wabambikizia kesi watu.
π π Saccos ya Mbowe, kila uchaguzi mkishindwa unakuwa sio uchaguzi tena. Hakuna genge la hovyo kabisa, kama ya huyu faru John.Joseph Mbilinyi alialikwa kwenye TV hiyo kwa ajili ya Mahojiano katika kipindi chao cha medani za siasa , mabango yakawekwa kila kona
View attachment 1831323
Hatimaye siku ya mahojiano ikafika , Kwenye mahojiano yenyewe sasa mambo yalikuwa hivi .
View attachment 1831333
Hivi umeishia darasa la ngapi ?Huna hoja wewe.
Magufuli alikuwa hakimu au Jaji Mkuu?
Acheni kukaririshwa ujinga ninyi . Hivi kweli mtu kama Mbowe aibiwe kura na ushahidi anao asiende mahakamani???
Mtu kama Zitto Kabwe apoteze jimbo lake la Ubunge kwa kuibiwa kura na ushahidi anao asiende kweli mahakamani???
Mtu kama Halima Mdee akamate ushahidi halafu asiende mahakamani? Seriously????
Ninyi misukule ya CHADEMA tumieni akili zenu vizuri. Hao wahuni akina Sugu hawakuibiwa kura, walipoteza kihalali kabisa lakini wanaona aibu kukubali kushindwa wanaishia kuwaaminisha ninyi misukule kuwa walidhulumiwa.
Darasa aliloishia MboweHivi umeishia darasa la ngapi ?
Mpumbavu weye.Kwa Kiingereza unaitwa gunioko gunioo!ππππWe dada upo kwenye heat, subiri kidogo
Faiza ana "fulastesheni" za kukojozwa na SuguπππππKiboko yake Faiza