auferet dominus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,804
- 1,292
Judiciary system iliyo heavily politicized unaiita judiciary system. Judiciary system iliyominya na kupora haki za watu. Judiciary system ambayo Sasa inakuwa criticized proper regimes zilizopo Sasa zinazotambua justice Nini sio ule utopolo wa past five years. Kwa akili yako hii mbovu nakuona unavoweza kusoma mbele za watu ukasema tulikuwa proper system. ImbecileNonsense!
Mimi siongelei mambo ya Magufuli naongelea judiciary system.
Acheni maisha ya kukariri ujinga na kushikiwa akili na wanasiasa wahuni.
Nakushusha nondo za hatariiHapo mtaangazaji kama akili zako za baba levo unageuzwa mgeni mwalikwa wanaume wanateka kipindi kwa kutema madini
Ushahidi upo. Mahakama ziliminywa na yule dictator uchwara. Huwezi kupoteza muda kwa jambo linalojulikana matokeo yake.Kama mnao ushahidi kwanini hamkwenda mahakamani kufungua kesi???
Hilo ndilo swali langu la msingi.
Kama ambayo European union hawawezi kukaa meza moja na Putin, hivyo hivyo Sugu hawezi kaa meza moja na Tulia.Mwandishi wa kipindi amegeuzwa kuwa mgeni mualikwa hapo. Na mwandishi angeendelea kujifanya hazimtoshi kwa kuuliza maswali ya kipuuzi basi angechezea hata makofi au ngumi kwa sugu.
Kipindi kingekua kizuri kweli wangealikwa wote wawili kwa pamoja, Sugu na Ackson Tulia.[emoji3][emoji3][emoji3]
Faiza mbona anataka wazae tena na jamaa?Kiboko yake Faiza
Hoja dhaifu hii.Ushahidi upo. Mahakama ziliminywa na yule dictator uchwara. Huwezi kupoteza muda kwa jambo linalojulikana matokeo yake.
Ccm ilipora uchaguzi 2021.
Tulionya mara kadhaa kwamba Mungu hataniwi lakini tukapuuzwaTangu nizaliwe zaidi ya miaka 40 iliyopita sijawahi kuona uchaguzi wa kishetani kama ule wa 2020. nafikiri ile dhambi ilimuudhi sana Mungu kiasi cha kutovumilia tena yule aliyeamuru uchafu ule aendelee kuishi.
Kwa kweli ukitafakari kwa kina hupati jibu la haraka. Kuna watu wamefia gerezani eti wamemsema mitandaoni tu. Jamani! Unyama gani ule? Yaani kweli unaamuru binadamu mwenzako apotezwe jumla hata ndugu zake wasimzike! Unaamuru watu wauawe na kusokomezwa kwenye viroba! Unaamuru binadamu mwenzako amiminiwe risasi kama nguruwe pori! Unyama ule Mungu hangevumilia. nchi hii ya Tanzania ni ya tofauti sana. Ukianza kuzingua na kujifanya mwamba utafutika kama kivuli tuTulionya mara kadhaa kwamba Mungu hataniwi lakini tukapuuzwa
Umesoma mpaka level gani ya shule mkuu?Hoja dhaifu hii.
Tuambie ni kesi gani ya uchaguzi iliyofunguliwa halafu ikatupiliwa mbali ilihali ushahidi upo?
Nimesoma mpaka level ile aliyoifikia Mwenyekiti wa chama chako.Umesoma mpaka level gani ya shule mkuu?
Naona hakujua Kama Sugu anapuliza cha Njombe. Huyo Sugu ni mtu mzima ambaye alistahili kuwa wa busara, lakini bado ni mtu wa kucheza na teens mitaani. Aseme nini kwenye mahojiano?Hao star tv hawajielewi, unawaalikaje wavuta bangi kwenye kipindi Cha heshima Kama hicho?
Kama wavuta bangi wa CCMHao star tv hawajielewi, unawaalikaje wavuta bangi kwenye kipindi Cha heshima Kama hicho?
Bora ungekuwa nayo hiyo kuliko sasa inavyoonekana una elimu ya degree toka mwalimu nyerere. Ukifaulu kwa kudesa . Huelewi hata mazingira yanayokuzunguka??Nimesoma mpaka level ile aliyoifikia Mwenyekiti wa chama chako.
Mlizuia watu kutoa maoni kwa miaka almost mitano, washapata pa kupumilia. Tulien dawa iingieHao star tv hawajielewi, unawaalikaje wavuta bangi kwenye kipindi Cha heshima Kama hicho?
Mnafiki utajua kwa kulamba nyayo za mabwana zake kama jiwe ili kupalilia uteuzi!Kama SUGU aliibiwa "kura" na anao ushahidi kuwa uchaguzi ulikuwa rigged, kwanini hakufungua kesi mahakamani??
Tumewahi kushuhudia matokeo ya Ubunge yakipingwa mahakamani na wapinzani wakashinda, mfano ni Godbless Lema mwaka 2010 rejea kesi yake na Batlida.
Sasa hawa wanaopiga kelele kuwa uchaguzi haukuwa wa haki kwanini hawakwenda Mahakamani kudai haki zao??????????????????????
Wanafiki wakubwa!!
nani Chadema?Huna hoja wewe.
Magufuli alikuwa hakimu au Jaji Mkuu?
Acheni kukaririshwa ujinga ninyi . Hivi kweli mtu kama Mbowe aibiwe kura na ushahidi anao asiende mahakamani???
Mtu kama Zitto Kabwe apoteze jimbo lake la Ubunge kwa kuibiwa kura na ushahidi anao asiende kweli mahakamani???
Mtu kama Halima Mdee akamate ushahidi halafu asiende mahakamani? Seriously????
Ninyi misukule ya CHADEMA tumieni akili zenu vizuri. Hao wahuni akina Sugu hawakuibiwa kura, walipoteza kihalali kabisa lakini wanaona aibu kukubali kushindwa wanaishia kuwaaminisha ninyi misukule kuwa walidhulumiwa.
Dhibiti hasira tafadhali usije ukakosa ustaarabu ukatamka maneno yasiyoendana na hadhi na heshima yako uliyoijenga muda mrefu.Ule Ulikuwa ni zaidi ya ukhanithi ,halafu Yule kum* WA chato bila aibu anasema niombeeni , ***** , Mungu hadhihakiwi
Joseph Mbilinyi alialikwa kwenye TV hiyo kwa ajili ya Mahojiano katika kipindi chao cha medani za siasa , mabango yakawekwa kila kona
View attachment 1831323
Hatimaye siku ya mahojiano ikafika , Kwenye mahojiano yenyewe sasa mambo yalikuwa hivi .
View attachment 1831333
nani Chadema?
hv kila aliye mpinga huyo meko alikuwa chadema?
bora Mungu alituondolea ile takataka