Elections 2010 Mwandishi wa Uganda asema Kikwete aliiba kura

Elections 2010 Mwandishi wa Uganda asema Kikwete aliiba kura

Nadhani KAtunzi anatupa fundisho kubwa hapa kwetu........ wapi vyombo vya habari?? Why are they affraid to say the truth? Nimekuwa nikifuatilia mahojiano, press conferences za media people ninaona kabisa kuna maswali wanauliza ambayo ni ya msingi kabisa but when it comes to reporting ni kama vile wanaogopa..............iweje mtu wa nje aone hili ambalo limeonwa na kila mwenye ufahamu makini alizungumzie kwa uhuru kuliko vyombo vyetu|?? Wapi ITV, wapi TBC, wapi Sakina Dutoo, Ayoub Ryoba......... wapi Kajubi Mukajanga??? Je Tanzania vyombo vya habari viko huru?? are they independent??

I just wonder
 
Kikwete’s arrogance had reached dizzying heights. He hobnobbed with those who still had corruption cases in court and promoted them as clean people.

For all intents and purposes, Kikwete was mocking Tanzanians. It’s like he was saying, “you vote; I decide to remain in power”! But the future of CCM as the dominant party hangs in balance.
The impunity, the arrogance and the absurdity of it all makes one wanna vomit and Kikwete being what he is, has no idea at all about the consequences of his actions because he is not in charge. He is like a dead man walking and knows not whether he is coming or going for his hands are held by the likes of Rostamu, Chenge, Lowassa and the list goes on. He is like a puppet on a string that is being pulled by a gang of thieves and crooks who have hijacked what once was a people's party. They let him and his kin do all the dirty work keeping their hands clean and he, like a robot responds to every touch of a button. And now realizing that the end is near, he is lashing out with those last kicks of a dying horse without knowing his kicks are hurting the very people he swore to protect. Poor Kikwete.
 
Huyo Katunzi hanisi huyo. Hana lolote k...mamake. Ms....ge kabisa
 
The Observer - PIUS KATUNZI: Kikwete

Haya jamani, waandishi wa Tanzania mko wapi? Mnashindwa kuwa na ujasiri na kusema wazi kuwa Kikwete aliiba kura na ushindi wake ni batili mpaka msaidiwe na majirani zetu wa Uganda? Ni uoga, kukosa ujasiri au mmepewa chochote kitu mkae kimya? Sasa hivi waandishi wa Bongo wamesha sahau scandal kubwa ya wizi wa kura na badala yake wako bize kudakia mbio za uspika, waziri mkuu mpya, baraza la mawaziri, etc.

Huyu mwandishi angelikuwa karibu ningempa nishani ya uandishi uliotukuka. Amenifurahisha sana sana.
Kipande ambache kimenifanya mpaka nicheke nime-copy na ku-paste kuonyesha jamaa alivyochanganua na kumlinganisha Jakaya na Babu Mugabe ambaye JK alimwalika kwenye sherehe za kuapishwa kwake. Yaelekea JK alipata mbinu za kibabu jinsi kilivyofanya kwenye uchaguzi wa Zimbabwe mwaka 2008! Kazi kweli kweli:

...For once, Kikwete seemed like Robert Mugabe of Zimbabwe whose electoral commission took forever to announce the results in 2008. It has taken NEC five days to come out with results, which declared Kikwete victor. CHADEMA has refused to recognise the results and they are lining up their lawyers to file a petition in court.
Kikwete, who was more popular than his predecessor, Benjamin Mkapa, had to be punished and his victory almost spells doom for the future of CCM. CCM may disappear like Kenya’s KANU which was buried by President Moi.
The workers who used to form the bulk of its support no longer stand by it. For in their eyes it has ceased being a party that represents them. It now represents the rich and doggy investors.
Kikwete fell out with workers when he answered workers’ demand for the minimum wage of TShs 315,400 ($219) with threats of dismissals and imprisonment. He told them that some of them would go to the negotiating table with bandages wrapped around their faces.

Kikwete’s arrogance had reached dizzying heights. He hobnobbed with those who still had corruption cases in court and promoted them as clean people.

For all intents and purposes, Kikwete was mocking Tanzanians. It’s like he was saying, “you vote; I decide to remain in power”! But the future of CCM as the dominant party hangs in balance.

Saafi sana Katunzi.Big up!


 
huyo mwandishi ni mchochezi ,awapendi kuona tanzania tunaishi kwa amani,wanatuonea gere.

huyo mwandishi kaeleza nini kilitokea katika upigaji kura na kuhesabu na kiutangazwa kwa matokeo; sijaona mahali popote alitaja kuwa ccm imeiba kura. Ila kawasilisha ujumbe inavyotakiwa ya nini kilichotokea na kuwaacha wasomaji wake waamue wenyewe nini kilitokea. Sasa hao mnaomuita mchochezi nini cha uongo alichoandika? Naomaba unitajie

waandishi wetu nao wapate mafunzo kutoka kwa wenzetu. Nani anafahamu mshahara wake? Inawezekana ndio kichocheo cha kufanya kazi kwa uhakika kiasi hiki.
 
Its true huyu jamaa Katunzi namfahamu... ha ha hamnajua kwamba mama yake ni mtanzania wa Bukoba? kalaga baho.. alikuja kupiga kura
 
Kwani ndio itabadilisha ukweli? Kikwete kaiba, Period!! Na tuzo ya Mo Ibrahim ataisikia tu kwa bomba!

Hiyo ya Mo Ibrahim, mkwere anaiota sana lakini kwa wizi huu wa kura kwenye uchaguzi huu itamfanya aiote tu maisha yake yote!!
 
Ukweli siku zote unabaki kuwa wazi hata kama ukifunga macho ila Mungu yupo na tahukumu huu wizi siku moja na hata hapa tanzania kuna waandishi wa habari wazuri sana ila wana njaa mbaya sana na ndiyo maana hawawezi kuandika ukweli kama katunzi zaidi ya kulamba miguu ya mafisadi na kusubiri rehema zao ila kuna wachache jamani wanastahili pongezi kama wa mwanahalisi, raia mwema, tanzania daima nk. Na sio magezeti ambayo yamenunuliwa na rostam kama rai na mengineyo tuna hatari sisi maana TUNANUNUA HATA VYOMBO VYA HABARI ILI KUFICHA MAOVU Vipi sasa na hizi blog.
 
Kikwete ni zaidi ya mwizi wa kura, ni MBAKAJI WA DEMOKRASIA

Usilalamike sana kaka ni rais wa kundi la watu ml.tano kwa kura za kuiba kati ya wa watanzania milion 40 na pia ni kwa sababu wanalala kitanda kimoja na yule mchawi shehe nyanya mtabiri. nimechoka mimi jamani kuwa mtumwa kwenye nchi yangu
 
Usilalamike sana kaka ni rais wa kundi la watu ml.tano kwa kura za kuiba kati ya wa watanzania milion 40 na pia ni kwa sababu wanalala kitanda kimoja na yule mchawi shehe nyanya mtabiri. nimechoka mimi jamani kuwa mtumwa kwenye nchi yangu

Du, hii kali sasa nani mkali?
 
Mwambieni huyo P. Katunzi kama kweli yeye ni jasiri aandike mambo ya M7... Mbona wao wako na dikteta kwao na wanashindwa kumuandika kama wanavyoshadadia mambo ya nchi jirani??

What an argument!? Are you certain that Katunzi will not have written about MZ with the same audacity? This kind of thinking reminds me of a young man who asks for favour from his friend just because his mate got the same favour, not because he needs them.
 
Du, hii kali sasa nani mkali?

Kama ni zamu zamu wa mwisho ndiyo atakuwa mkali lakini nina wasiwasi na yule anyeanguka angaka jukwaani kila mara hawezi kufika mwisho atachemka njiani KULIWA NA MAJINI SIYO MCHEZO UNAISHIWA NGUVU MPAKA JUKWAANI UNAADHIRIKA
 
Nampongeza huyu mwandishi wa Uganda. Amejitahidi kuonyesha jinsi Tanzania inavyotazamwa na mataifa jirani. Kikwete amechafua jina la nchi yetu sahizi hata nikienda nchi jirani naona aibu kusema nimetoka Tz tofauti na zamani. Waandishi wa namna tunao wachache sana Tanzania mfano ni wa magazeti ya Mwananchi, Tanzania Daima na Mwanahalisi. Walishatamka wazi kuwa CCM wameshinda kwa wizi wa kura na waliainisha njia wanazotumia kuiba
 
Huyo Katunzi hanisi huyo. Hana lolote k...mamake. Ms....ge kabisa

Mmeumbuka. Hanisi ni wewe na wenzako msioweza zalisha mema yatakayowasaidia watanzania maskini vijijini wakajikwamua na umaskini badala yake mnang'ang'ania kuiba kura ili mwendelee kuwakandamiza. pole mwisho wa watu kama nyie unakaribia...:bowl::bowl::bowl::bowl::bowl::bowl:
 
Back
Top Bottom