TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUKAMATWA KWA MWANDISHI WA HABARI ZA KIUCHUNGUZI JOSEPH GANDYE WA WATETEZI TV.
1.0 Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu una laani tukio la kukamatwa kwa Mwandishi wa Habari Joseph Gandye, ambaye ni Mhariri wa Uzalishaji Maudhui msimamizi msaidizi wa Watetezi TV.
Gandye alikamatwa leo tarehe 22.08.2019 baada ya kupigiwa simu na askari aliyejitambulisha kwa jina la Godfrey Mkude ambaye alimtaka mwandishi huyo kwenda kituo cha polisi Urafiki kwa ajili ya mahojiano.
Baada ya kuchukuliwa maelezo chini ya wakili Jones Sendodo, dhamana yake ilikataliwa kwa maelezo kwamba amri ya kumkamata imetoka Iringa hivyo kituo cha polisi Urafiki wao wanamuhifadhi na baadae atapelekwa Iringa kwa ajili ya taratibu zingine.
2.0 Mnamo Juni 17, 2019 Waandishi wa habari wa Kituo cha Luninga cha mtandaoni (Online TV) cha Watetezi TV walipokea taarifa ya kuwepo kwa vitendo vya udhalilishwaji wa watuhumiwa katika Kituo cha Polisi Mafinga mkoani Iringa.
Baada ya kupokea taarifa hiyo, Mwandishi Joseph Gadye alifunga safari hadi mkoani Iringa kwa ajili ya kufuatilia habari hiyo kwa kufanya uchunguzi wa kutosha na mnamo Agosti 09, 2019 Watetezi TV iliripoti tukio la ukatili wa Askari wa jeshi la polisi katika Kituo cha Polisi Mafinga mkoani Iringa katika mitandao yake (Facebook, Twitter na You tube channel).
Katika tukio hilo inadaiwa kuwa vijana sita (Majina yao yanahifadhiwa) wakazi wa Mafinga walikamatwa na kuteswa na maofisa kwa jeshi la polisi na inadaiwa kuwa walipigwa na kulazimishwa kulawitiana wao kwao wakiwa kituoni.
Watuhumiwa hao sita walikamatwa na jeshi la polisi mnamo mwezi Mei 19, 2019 na kushikiliwa kwa takribani siku 10 katika Kituo cha Polisi Mafinga, ambapo inadaiwa kuwa walipigwa na kulazimishwa kulawitiana wao kwa wao mbele ya maofisa wa jeshi la polisi kituo cha Mafinga wakati wakifanyiwa mahojiano.
Baada ya Watetezi TV kutoa ripoti yake sehemu ya kwanza Agosti 09, 2019 kuhusu ukatili huo, jeshi la polisi mkoani Iringa kupitia kwa Kamanda wa Polisi mkoa (RPC), ACP Juma Bwire ilikanusha taarifa hiyo na kudai kuwa ni uongo unaosambazwa mitandaoni kwa lengo la kulidhalilisha jeshi la polisi na kuichafua serikali kwa ujumla.
“Jeshi la polisi mkoa wa Iringa linaonya hao watu wanaotoa taarifa za uongo na upotoshaji zenye lengo la kudhalilisha jeshi la polisi Tanzania na serikali kwa ujumla. Hivyo, tunatoa onyo watu wenye tabia hizo kuacha mara moja. Aidha, nimemuagiza mkuu wa upelelezi afuatilie kwa watu wanaopotosha na kutoa taarifa za uongo. Pindi watakapopatikana basi hatua za kisheria zichukuliwe. Na sasa hivi tunaendelea kufuatilia kwenye mitandao taarifa mbalimbali zikirushwa. Kwahiyo, atakayebainika tutachukua hatua kali za kisheria,” alisema RPC Bwire katika taarifa yake na wanahabari mnamo Agosti 14, 2019.
3.0 Leo Agosti 22, 2019 Mwandishi wa habari Watetezi TV, Joseph Gandye aliyechapisha habari hiyo ametakiwa kuripoti Kituo cha Polisi Urafiki, Dar es Salaam kwa ajili ya mahojiano.
Gandye ambaye alipigiwa simu leo majira ya saa 05.20 alifika kituoni hapo na kusubiri zaidi ya masaa 2.
Hatimaye Mwandishi huyo alihojiwa mbele ya Wakili Jones Sendodo kwa tuhuma za kuchapisha habari za uongo mtandaoni kinyume na Sheria ya Makosa ya Mtandao.
Mwandishi Joseph Gandye amekamatwa rasmi katika kituo cha polisi Urafiki jijini Dar es Salaam . Mkuu wa kituo hicho amesema hawezi kumpa dhamana kwa kua hana mamlaka yoyote kwa kua aliemkamata ni polisi kutoka Iringa .
Polisi kutoka Iringa wanafanya mipango ya kumsafirisha Joseph Gandye kwenda mkoani Iringa.
4.0 Itakumbukwa mwandishi huyu ndie alietoa habari ya mwanafunzi Hosea Manga, aliechapwa na mwalimu mpaka kuvunjika uti wa mgongo mkoani Njombe.
Vilevile aliripoti kuhusu uonevu uliokua unafanywa na polisi Loliondo na kwa taarifa hiyo kupitia Watetezi TV Waziri wa mambo ya ndani Mh. Kangi Lugola aliweza kufatilia suala hilo na kulifanyia kazi.
Mwandishi Joseph Gandye si tu miongoni mwa mwandishi mahiri bali mtayarishaji mzuri wa kipindi cha vya vipindi Haki za Binadamu kinachorushwa live kila siku ya ijumaa saa 10 kamili jioni ndani ya studio za Watetezi TV.
5.0 WITO KWA JESHI LA POLISI MAFINGA
1. Kuzingatia haki zote za mtuhumiwa , kuto kuteswa wala kutwezwa utu wake
2. Haki ya dhamana itolewe kwa kua kosa analotuhumiwa linadhaminika
3. Uchunguzi ufanyike kuhusu tuhuma za udhalilishwaji na uvunjwaji wa haki za binadamu unaofanywa dhidi ya watuhumiwa katika kituo hicho cha polisi.
4. Kuwaacha Waandishi wa Habari wafanye kazi zao bila kuwakamata mara kwa mara .
Imetolewa na Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania.
Onesmo Olengurumwa
Baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda cha hong way interntional ltd kilichopo Mafinga wanalalamika kwa kulazimishwa kulawitiana. Wanasema amri hiyo ilitolewa na askari baada ya kupelekwa kituoni kama watuhumiwa kwenye kiwanda hicho. ==== Vijana 5 Waliokua Wafanyakazi Wa Kiwanda Cha Hongway...
Sipo upande wowote lakini kwa mtazamo wangu huyo mwandishi ana lake jambo na ninaweza kumuita yupo kundi la watu wanayoipinga serikali ya awamu ya nne na ndio maana yupo kwenye upande wa kuleta machafuzi, kwani alitakiwa atumie busara ya hali ya juu kwani hizo tuhuma zilikuwa ni kubwa sana. Anasema alifanyia uchunguzi je alishirikisha pia watuhumiwa? hata kama ingekuwa ngumu kwake kuwashirikisha je alishindwa kumshirikisha mkuu wa mkoa, tatizo la waandishi wa sasa hivi waliokosa maadili ya kiuandishi wanatabia ya kudharau mamlaka wanajifanya wao wamepitia taaluma ya kiuchunguzi au siku hizi chuo cha uandishi kina mafunzo hayo?.
Inashangaza, inahuzunisha na inafikirisha sana. Polisi ni watuhumiwa, wale vijana walalamikaji, Mwandishi ameweka hadharani malalamiko, Polisi ndiyo sehemu ya kupeleka malalamiko.
SASA kosa lake NINI?
Yeye amewahoji wahusika laivu bila Chenga kisha akatupia YouTube kila MTU aone.
Lingekuwa ni gazeti tungesema muongo, HAPO polisi mtaambulia aibu bure!.
Imebidi niitafute Nimeandika you tube WATETEZI TV yani habari imekuja kama yote. Sasa huyu muandishi mbona aliongea mpaka na kamanda wa polisi wa mkoa. Na amesema wako kwenye uchunguzi labda kutakua na shida nyingine who knows
Sipo upande wowote lakini kwa mtazamo wangu huyo mwandishi ana lake jambo na ninaweza kumuita yupo kundi la watu wanayoipinga serikali ya awamu ya nne na ndio maana yupo kwenye upande wa kuleta machafuzi, kwani alitakiwa atumie busara ya hali ya juu kwani hizo tuhuma zilikuwa ni kubwa sana. Anasema alifanyia uchunguzi je alishirikisha pia watuhumiwa? hata kama ingekuwa ngumu kwake kuwashirikisha je alishindwa kumshirikisha mkuu wa mkoa, tatizo la waandishi wa sasa hivi waliokosa maadili ya kiuandishi wanatabia ya kudharau mamlaka wanajifanya wao wamepitia taaluma ya kiuchunguzi au siku hizi chuo cha uandishi kina mafunzo hayo?.
Ikiwa hizo tuhuma ni za kweli maana najua kama ni uongo amefanya kosa,je kisheria atakua ana kosa?kisheria lakini tuweke hisia na mitazamo yetu pembeni maana naona umeshaanza kusema hadi ana watu nyuma yake sasa sijui hayo umeyajulia wapi.
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUKAMATWA KWA MWANDISHI WA HABARI ZA KIUCHUNGUZI JOSEPH GANDYE WA WATETEZI TV.
1.0 Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu una laani tukio la kukamatwa kwa Mwandishi wa Habari Joseph Gandye, ambaye ni Mhariri wa Uzalishaji Maudhui msimamizi msaidizi wa Watetezi TV.
Gandye alikamatwa leo tarehe 22.08.2019 baada ya kupigiwa simu na askari aliyejitambulisha kwa jina la Godfrey Mkude ambaye alimtaka mwandishi huyo kwenda kituo cha polisi Urafiki kwa ajili ya mahojiano.
Baada ya kuchukuliwa maelezo chini ya wakili Jones Sendodo, dhamana yake ilikataliwa kwa maelezo kwamba amri ya kumkamata imetoka Iringa hivyo kituo cha polisi Urafiki wao wanamuhifadhi na baadae atapelekwa Iringa kwa ajili ya taratibu zingine.
2.0 Mnamo Juni 17, 2019 Waandishi wa habari wa Kituo cha Luninga cha mtandaoni (Online TV) cha Watetezi TV walipokea taarifa ya kuwepo kwa vitendo vya udhalilishwaji wa watuhumiwa katika Kituo cha Polisi Mafinga mkoani Iringa.
Baada ya kupokea taarifa hiyo, Mwandishi Joseph Gadye alifunga safari hadi mkoani Iringa kwa ajili ya kufuatilia habari hiyo kwa kufanya uchunguzi wa kutosha na mnamo Agosti 09, 2019 Watetezi TV iliripoti tukio la ukatili wa Askari wa jeshi la polisi katika Kituo cha Polisi Mafinga mkoani Iringa katika mitandao yake (Facebook, Twitter na You tube channel).
Katika tukio hilo inadaiwa kuwa vijana sita (Majina yao yanahifadhiwa) wakazi wa Mafinga walikamatwa na kuteswa na maofisa kwa jeshi la polisi na inadaiwa kuwa walipigwa na kulazimishwa kulawitiana wao kwao wakiwa kituoni.
Watuhumiwa hao sita walikamatwa na jeshi la polisi mnamo mwezi Mei 19, 2019 na kushikiliwa kwa takribani siku 10 katika Kituo cha Polisi Mafinga, ambapo inadaiwa kuwa walipigwa na kulazimishwa kulawitiana wao kwa wao mbele ya maofisa wa jeshi la polisi kituo cha Mafinga wakati wakifanyiwa mahojiano.
Baada ya Watetezi TV kutoa ripoti yake sehemu ya kwanza Agosti 09, 2019 kuhusu ukatili huo, jeshi la polisi mkoani Iringa kupitia kwa Kamanda wa Polisi mkoa (RPC), ACP Juma Bwire ilikanusha taarifa hiyo na kudai kuwa ni uongo unaosambazwa mitandaoni kwa lengo la kulidhalilisha jeshi la polisi na kuichafua serikali kwa ujumla.
“Jeshi la polisi mkoa wa Iringa linaonya hao watu wanaotoa taarifa za uongo na upotoshaji zenye lengo la kudhalilisha jeshi la polisi Tanzania na serikali kwa ujumla. Hivyo, tunatoa onyo watu wenye tabia hizo kuacha mara moja. Aidha, nimemuagiza mkuu wa upelelezi afuatilie kwa watu wanaopotosha na kutoa taarifa za uongo. Pindi watakapopatikana basi hatua za kisheria zichukuliwe. Na sasa hivi tunaendelea kufuatilia kwenye mitandao taarifa mbalimbali zikirushwa. Kwahiyo, atakayebainika tutachukua hatua kali za kisheria,” alisema RPC Bwire katika taarifa yake na wanahabari mnamo Agosti 14, 2019.
3.0 Leo Agosti 22, 2019 Mwandishi wa habari Watetezi TV, Joseph Gandye aliyechapisha habari hiyo ametakiwa kuripoti Kituo cha Polisi Urafiki, Dar es Salaam kwa ajili ya mahojiano.
Gandye ambaye alipigiwa simu leo majira ya saa 05.20 alifika kituoni hapo na kusubiri zaidi ya masaa 2.
Hatimaye Mwandishi huyo alihojiwa mbele ya Wakili Jones Sendodo kwa tuhuma za kuchapisha habari za uongo mtandaoni kinyume na Sheria ya Makosa ya Mtandao.
Mwandishi Joseph Gandye amekamatwa rasmi katika kituo cha polisi Urafiki jijini Dar es Salaam . Mkuu wa kituo hicho amesema hawezi kumpa dhamana kwa kua hana mamlaka yoyote kwa kua aliemkamata ni polisi kutoka Iringa .
Polisi kutoka Iringa wanafanya mipango ya kumsafirisha Joseph Gandye kwenda mkoani Iringa.
4.0 Itakumbukwa mwandishi huyu ndie alietoa habari ya mwanafunzi Hosea Manga, aliechapwa na mwalimu mpaka kuvunjika uti wa mgongo mkoani Njombe.
Vilevile aliripoti kuhusu uonevu uliokua unafanywa na polisi Loliondo na kwa taarifa hiyo kupitia Watetezi TV Waziri wa mambo ya ndani Mh. Kangi Lugola aliweza kufatilia suala hilo na kulifanyia kazi.
Mwandishi Joseph Gandye si tu miongoni mwa mwandishi mahiri bali mtayarishaji mzuri wa kipindi cha vya vipindi Haki za Binadamu kinachorushwa live kila siku ya ijumaa saa 10 kamili jioni ndani ya studio za Watetezi TV.
5.0 WITO KWA JESHI LA POLISI MAFINGA
1. Kuzingatia haki zote za mtuhumiwa , kuto kuteswa wala kutwezwa utu wake
2. Haki ya dhamana itolewe kwa kua kosa analotuhumiwa linadhaminika
3. Uchunguzi ufanyike kuhusu tuhuma za udhalilishwaji na uvunjwaji wa haki za binadamu unaofanywa dhidi ya watuhumiwa katika kituo hicho cha polisi.
4. Kuwaacha Waandishi wa Habari wafanye kazi zao bila kuwakamata mara kwa mara .
Imetolewa na Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania.
Onesmo Olengurumwa
Dar es Salaam
22. 08.2019
*******
UPDATE
Jeshi la Polisi Mkoani Iringa limesema limemkamata Mhariri Joseph Gandye ili aweze kuwaonesha Askari waliohusika na kuwalazimisha Watuhumiwa kuingiliana kinyume na maumbile wakiwa Kituo cha Polisi Mafinga
Taarifa zinadai Gandye atahojiwa upya mkoani humo mbele ya Kamanda wa Polisi wa Mkoa na Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa, baada ya Polisi kudai Askari aliyemuhoji awali jijini Dar ameruka baadhi ya vipengele katika mahojiano
Baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda cha hong way interntional ltd kilichopo Mafinga wanalalamika kwa kulazimishwa kulawitiana. Wanasema amri hiyo ilitolewa na askari baada ya kupelekwa kituoni kama watuhumiwa kwenye kiwanda hicho. ==== Vijana 5 Waliokua Wafanyakazi Wa Kiwanda Cha Hongway...
Inashangaza, inahuzunisha na inafikirisha sana. Polisi ni watuhumiwa, wale vijana walalamikaji, Mwandishi ameweka hadharani malalamiko, Polisi ndiyo sehemu ya kupeleka malalamiko.
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUKAMATWA KWA MWANDISHI WA HABARI ZA KIUCHUNGUZI JOSEPH GANDYE WA WATETEZI TV.
1.0 Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu una laani tukio la kukamatwa kwa Mwandishi wa Habari Joseph Gandye, ambaye ni Mhariri wa Uzalishaji Maudhui msimamizi msaidizi wa Watetezi TV.
Gandye alikamatwa leo tarehe 22.08.2019 baada ya kupigiwa simu na askari aliyejitambulisha kwa jina la Godfrey Mkude ambaye alimtaka mwandishi huyo kwenda kituo cha polisi Urafiki kwa ajili ya mahojiano.
Baada ya kuchukuliwa maelezo chini ya wakili Jones Sendodo, dhamana yake ilikataliwa kwa maelezo kwamba amri ya kumkamata imetoka Iringa hivyo kituo cha polisi Urafiki wao wanamuhifadhi na baadae atapelekwa Iringa kwa ajili ya taratibu zingine.
2.0 Mnamo Juni 17, 2019 Waandishi wa habari wa Kituo cha Luninga cha mtandaoni (Online TV) cha Watetezi TV walipokea taarifa ya kuwepo kwa vitendo vya udhalilishwaji wa watuhumiwa katika Kituo cha Polisi Mafinga mkoani Iringa.
Baada ya kupokea taarifa hiyo, Mwandishi Joseph Gadye alifunga safari hadi mkoani Iringa kwa ajili ya kufuatilia habari hiyo kwa kufanya uchunguzi wa kutosha na mnamo Agosti 09, 2019 Watetezi TV iliripoti tukio la ukatili wa Askari wa jeshi la polisi katika Kituo cha Polisi Mafinga mkoani Iringa katika mitandao yake (Facebook, Twitter na You tube channel).
Katika tukio hilo inadaiwa kuwa vijana sita (Majina yao yanahifadhiwa) wakazi wa Mafinga walikamatwa na kuteswa na maofisa kwa jeshi la polisi na inadaiwa kuwa walipigwa na kulazimishwa kulawitiana wao kwao wakiwa kituoni.
Watuhumiwa hao sita walikamatwa na jeshi la polisi mnamo mwezi Mei 19, 2019 na kushikiliwa kwa takribani siku 10 katika Kituo cha Polisi Mafinga, ambapo inadaiwa kuwa walipigwa na kulazimishwa kulawitiana wao kwa wao mbele ya maofisa wa jeshi la polisi kituo cha Mafinga wakati wakifanyiwa mahojiano.
Baada ya Watetezi TV kutoa ripoti yake sehemu ya kwanza Agosti 09, 2019 kuhusu ukatili huo, jeshi la polisi mkoani Iringa kupitia kwa Kamanda wa Polisi mkoa (RPC), ACP Juma Bwire ilikanusha taarifa hiyo na kudai kuwa ni uongo unaosambazwa mitandaoni kwa lengo la kulidhalilisha jeshi la polisi na kuichafua serikali kwa ujumla.
“Jeshi la polisi mkoa wa Iringa linaonya hao watu wanaotoa taarifa za uongo na upotoshaji zenye lengo la kudhalilisha jeshi la polisi Tanzania na serikali kwa ujumla. Hivyo, tunatoa onyo watu wenye tabia hizo kuacha mara moja. Aidha, nimemuagiza mkuu wa upelelezi afuatilie kwa watu wanaopotosha na kutoa taarifa za uongo. Pindi watakapopatikana basi hatua za kisheria zichukuliwe. Na sasa hivi tunaendelea kufuatilia kwenye mitandao taarifa mbalimbali zikirushwa. Kwahiyo, atakayebainika tutachukua hatua kali za kisheria,” alisema RPC Bwire katika taarifa yake na wanahabari mnamo Agosti 14, 2019.
3.0 Leo Agosti 22, 2019 Mwandishi wa habari Watetezi TV, Joseph Gandye aliyechapisha habari hiyo ametakiwa kuripoti Kituo cha Polisi Urafiki, Dar es Salaam kwa ajili ya mahojiano.
Gandye ambaye alipigiwa simu leo majira ya saa 05.20 alifika kituoni hapo na kusubiri zaidi ya masaa 2.
Hatimaye Mwandishi huyo alihojiwa mbele ya Wakili Jones Sendodo kwa tuhuma za kuchapisha habari za uongo mtandaoni kinyume na Sheria ya Makosa ya Mtandao.
Mwandishi Joseph Gandye amekamatwa rasmi katika kituo cha polisi Urafiki jijini Dar es Salaam . Mkuu wa kituo hicho amesema hawezi kumpa dhamana kwa kua hana mamlaka yoyote kwa kua aliemkamata ni polisi kutoka Iringa .
Polisi kutoka Iringa wanafanya mipango ya kumsafirisha Joseph Gandye kwenda mkoani Iringa.
4.0 Itakumbukwa mwandishi huyu ndie alietoa habari ya mwanafunzi Hosea Manga, aliechapwa na mwalimu mpaka kuvunjika uti wa mgongo mkoani Njombe.
Vilevile aliripoti kuhusu uonevu uliokua unafanywa na polisi Loliondo na kwa taarifa hiyo kupitia Watetezi TV Waziri wa mambo ya ndani Mh. Kangi Lugola aliweza kufatilia suala hilo na kulifanyia kazi.
Mwandishi Joseph Gandye si tu miongoni mwa mwandishi mahiri bali mtayarishaji mzuri wa kipindi cha vya vipindi Haki za Binadamu kinachorushwa live kila siku ya ijumaa saa 10 kamili jioni ndani ya studio za Watetezi TV.
5.0 WITO KWA JESHI LA POLISI MAFINGA
1. Kuzingatia haki zote za mtuhumiwa , kuto kuteswa wala kutwezwa utu wake
2. Haki ya dhamana itolewe kwa kua kosa analotuhumiwa linadhaminika
3. Uchunguzi ufanyike kuhusu tuhuma za udhalilishwaji na uvunjwaji wa haki za binadamu unaofanywa dhidi ya watuhumiwa katika kituo hicho cha polisi.
4. Kuwaacha Waandishi wa Habari wafanye kazi zao bila kuwakamata mara kwa mara .
Imetolewa na Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania.
Onesmo Olengurumwa
Dar es Salaam
22. 08.2019
******* UPDATE
Jeshi la Polisi Mkoani Iringa limesema limemkamata Mhariri Joseph Gandye ili aweze kuwaonesha Askari waliohusika na kuwalazimisha Watuhumiwa kuingiliana kinyume na maumbile wakiwa Kituo cha Polisi Mafinga
Taarifa zinadai Gandye atahojiwa upya mkoani humo mbele ya Kamanda wa Polisi wa Mkoa na Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa, baada ya Polisi kudai Askari aliyemuhoji awali jijini Dar ameruka baadhi ya vipengele katika mahojiano
Zaidi, soma;
Baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda cha hong way interntional ltd kilichopo Mafinga wanalalamika kwa kulazimishwa kulawitiana. Wanasema amri hiyo ilitolewa na askari baada ya kupelekwa kituoni kama watuhumiwa kwenye kiwanda hicho. ==== Vijana 5 Waliokua Wafanyakazi Wa Kiwanda Cha Hongway...
. POLICE ni watuhumiwa, kitendo cha mtuhumiwa kumkamata mtuhumu ni kuficha ushahidi. Ilitakiwa ukamataji ufanywe kwa kituo kinachotuhumiwa. Baadae ikibainika kuna kuna ushahidi wa kutosha iende mahakamani. Lakini hii si kwa Tanzania.
Sipo upande wowote lakini kwa mtazamo wangu huyo mwandishi ana lake jambo na ninaweza kumuita yupo kundi la watu wanayoipinga serikali ya awamu ya nne na ndio maana yupo kwenye upande wa kuleta machafuzi, kwani alitakiwa atumie busara ya hali ya juu kwani hizo tuhuma zilikuwa ni kubwa sana. Anasema alifanyia uchunguzi je alishirikisha pia watuhumiwa? hata kama ingekuwa ngumu kwake kuwashirikisha je alishindwa kumshirikisha mkuu wa mkoa, tatizo la waandishi wa sasa hivi waliokosa maadili ya kiuandishi wanatabia ya kudharau mamlaka wanajifanya wao wamepitia taaluma ya kiuchunguzi au siku hizi chuo cha uandishi kina mafunzo hayo?.
Nadhani umetoa maoni bila hata kuangalia video ya mwandishi husika
Alichokifanya mwandishi baada ya kusikia uvumi huo alifunga safari, akawatafuta walalamikaji wakajieleza,
akaenda kwa walalamikiwa wamiliki wa kiwanda wakahojiwa wakajieleza,
akaenda kwa walalamikiwa wa pili ambao ni polisi wanaotuhumiwa kuwatesa na kuwalazimisha kulawitiana, wakahojiwa wakajieleza,
akaenda kwa madaktari waliowapima, wakahojiwa wakasema walichogundua,
Polisi wanasema wamefungua jarada la uchunguzi kuona ukweli wa jambo hilo,
Labda wajuzi wa sheria watusaidie, hapo kosa la mwandishi ni lipi? Nia ovu ya mwandishi iko wapi?
Tukisema mwandishi alilenga kutuhabarisha na kulihabarisha jeshi la polisi kwamba linachafuliwa na hao watuhumiwa mitaani hatutakuwa sahihi?
Hao vijana wako mtaani na wameonekana wakihojiwa na kukiri kuamulishwa kulawitiana na kufanyiwa ukatili mwingine, wao wameshakamatwa ili wakathibitishe walio yasema? Yupi alitakiwa kukamatwa kabla, mwandishi au walalamikaji?
Mimi naona watu wataanza kuhisi mwandishi anataka kunyamanzishwa hivyo watu kujithibitishia kwamba habari ilikuwa kweli kwa sababu ukiangalia ile video ni kama mwandishi anahabarisha tu umma na story ime balance kwasababu wahusika wote wamehojiwa na wameonekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.