Mwandishi William Ngazija wa ITV akamatwa na Polisi mkoani Tanga

Mwandishi William Ngazija wa ITV akamatwa na Polisi mkoani Tanga

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa zinaeleza kwamba Mwandishi huyo anayeripotia ITV kutokea Mkoa wa Tanga , amekamatwa na Polisi wa Korogwe na kulundikwa Sero kwa Amri ya Mkuu wa Wilaya hiyo , Ambaye pia ni Mlimbwende wa Tanzania wa miaka iliyopita Mtukufu Basila Mwanukuzi .

Bado haijafahamika kosa lake

Chanzo : Kitenge TV
 
NI huyu hapa....

images (3).jpeg


images (4).jpeg
 
Mpaka kufikia kupata cheo alicho nacho lazima awe mmama ama afanane na mmama mkuu [emoji23]. Wanachakazwa sana!

Hahah!!!

Hapana, ana tabia nzuri sana...pamoja na kuwa alijihusisha na ulimbwende kitambo
 
Back
Top Bottom