Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Bado ipo mkuuhii kitu bado ipo ?
Naombeni picha ya Basila
Hahahaaaa...... Kwa mujibu wa katiba!Dc ashamtundika mtu ndani
Ova
Kawa mmaza siku hizi...blaki byuti wetu wa enzi za ujana...
Inshallah chakula cha wakubwa wamekipa cheo.
haya mabo ya K ni hatari sana. huyu wapi na wapi na uongozi wa umma. Size yake ni huko kwa kuvaa ngo za ufukweni
Mpaka kufikia kupata cheo alicho nacho lazima awe mmama ama afanane na mmama mkuu [emoji23]. Wanachakazwa sana!