Tetesi: Mwandosya kanyimwa kibali cha kuingia Ikulu toka mwezi Juni!

Mbona walionana mbeya na ombi LA Mwandosya kuhusu barabara likakubaliwa
Wambea na wapotoshaji ni wengi sana hapa JF.
Kuna watu nilishawawekea 'label', habari zao wanazoweka hapa mara nyingi sisumbuki nazo. Huyo ni mmoja wao.
 
Ovyo ķabisa kileta mada. Ramlí za kihuni upumbavu mtupu
 
Umeamua kuingia mtegoni na vuvuzerá la Lumumba?
 
Wewe unaona aina hii ya uongozi inayopenda kupigiwa magoti ndo aina sahihi ya uongozi?? Muda utafika tu.
 
Wewe umeliamini bandiko hili?
 
Wanataka kumsaidia kuendesha nchi kimkakati maana inamshinda. Sikiliza hotuba zake hazina maelekezo ya kimaono Bali ni ngonjera na majivuno tu
 
Kila Zama na kitabu chake!

Kuna platforms mingi za kuwasilisha kile alichonacho, sio lazima aonane na rais ana Kwa ana!

Atulie ajilie pensheni
Akiwashwawashwa ataitwa tu Ikuluna atatoka huko akisifia na kuunga mkono juhudi...
 
Mwandosya huyu huyu au mwingine fake?
Walikutana Busekelo, akaomba barabara na kapewa.
 

Siyo wastaafu wote wanakwenda Ikulu kulipa kujikomba; wengine wanakwenda kushauri kwa mstakabali mwenye wa nchi. Suala hili la kumbe nafasi ya kushauri ni muhimu zaidi sasa ambapo ushauri inatolewa hadhari unaonekana ni usaliti!
 
Achana na mpiga ramli huyo. Mwandosya na Magu walikutana huko Tukuyu na wakaongea vizuri tu.
Mwandosya aliomba ujenzi wa barabara ya Km 17 iongezwe hadi angslau 21, lakini rais Magufuli alikubali ombi hilo ma kuongeza hadi Km 71.

Inawezekana kweli walikutana kwenye mkutano wa hadhara. Hapo siyo mahali pa kushauriana.
 
Mashamba na mali zikipigwa pin huna ujanja

(Rejea Blackmail)
 
Acha uzushi! Mwandosya hayuko hivyo Ila mnatamani awe hivyo.
 
Mkuu achana naye mleta Uzi, ni uzushi tuu.
 

Naomba nipe namba ya Prof Mwandosya nimshauri cha kufanya (japo sina PhD na amenizidi umri na uzoefu)
 
Mkubwa hapangi aonane na nani na asionane na nani mkuu. Ukienda official kuna watu kwa ajili ya kazi hiyo. Hata ukienda kama ndugu vivo hivyo. Wao ndo wanaamua na wakati mwingi hata yeye hafahamu.
 
Kwa Mwandosya ninayemjua,uzi wako ni ramli. Probably the only Prof aliyebakia ukiachana na wale waliookotwa majalalani.
Hahahahahaaaaa! Unawadanganya. Hana issue kama watanzania wenye akili kama za kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…