Tetesi: Mwandosya kanyimwa kibali cha kuingia Ikulu toka mwezi Juni!

Tetesi: Mwandosya kanyimwa kibali cha kuingia Ikulu toka mwezi Juni!

Wazee wetu na nyinyi muachage kujifanya wajuaji.

Mark James mwandoysa aliyepata kuwa Waziri wa mda mrefu wa awamu ya tatu na ya nne inasemekana kanyimwa kibali cha kwenda kuonana na Rais toka mwezi Juni.

Chanzo cha uhakika toka watu wake wa karibu vinatabanaisha bwana mkubwa inawezekana hataki hata kumsikia achilia mbali kuonana naye.'Toka mwezi wa sita anabembeleza aonane na bwana mkubwa lakini hajapatiwa jawabu hadi hivi leo'alisema mnyetishaji wetu.

Mytake;Mwandosya ulichagua kumpinga JPM sasa ya nini unabembeleza kwenda kujikomba na kupiga magoti ilhali wewe ni mbabe!?
Wewe mtoa mada ulizaliwa na mwanamke malaya ndo maana una akili kidogo Kama K ya Jokate.
Mwandosya naye ni mshenz tu Kama wewe, unabembeleza kuonana na Binadamu atakayekufa na kuoza Kama wewe, kwani akionana na Magufuli siku zake za kuishi Duniani zitaongezeka?
Pumbavu zako na Mwandosya wako
 
Wazee wetu na nyinyi muachage kujifanya wajuaji.

Mark James mwandoysa aliyepata kuwa Waziri wa mda mrefu wa awamu ya tatu na ya nne inasemekana kanyimwa kibali cha kwenda kuonana na Rais toka mwezi Juni.

Chanzo cha uhakika toka watu wake wa karibu vinatabanaisha bwana mkubwa inawezekana hataki hata kumsikia achilia mbali kuonana naye.'Toka mwezi wa sita anabembeleza aonane na bwana mkubwa lakini hajapatiwa jawabu hadi hivi leo'alisema mnyetishaji wetu.

Mytake;Mwandosya ulichagua kumpinga JPM sasa ya nini unabembeleza kwenda kujikomba na kupiga magoti ilhali wewe ni mbabe!?
Acha uongo walionana mby hebu toa uthibitisho kwanza wa kuwa kakataliwa
 
Kwa Mwandosya ninayemjua,uzi wako ni ramli. Probably the only Prof aliyebakia ukiachana na wale waliookotwa majalalani.
Na profesa Juma Kapuya utamuacha wapi???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wazee wetu na nyinyi muachage kujifanya wajuaji.

Mark James mwandoysa aliyepata kuwa Waziri wa mda mrefu wa awamu ya tatu na ya nne inasemekana kanyimwa kibali cha kwenda kuonana na Rais toka mwezi Juni.

Chanzo cha uhakika toka watu wake wa karibu vinatabanaisha bwana mkubwa inawezekana hataki hata kumsikia achilia mbali kuonana naye.'Toka mwezi wa sita anabembeleza aonane na bwana mkubwa lakini hajapatiwa jawabu hadi hivi leo'alisema mnyetishaji wetu.

Mytake;Mwandosya ulichagua kumpinga JPM sasa ya nini unabembeleza kwenda kujikomba na kupiga magoti ilhali wewe ni mbabe!?

Nadhani humjui Prof Mwandosya!
Unajiongelea tu
 
Whether aliuza ttcl au la, ila yeye ni prof asiyeokotwa jalalani
Ndugu mimi sijapinga uwezo maana taarifa zake ni nazo ila nimeuliza huyo Prof ndio yule aliyeuza ttcl au ni Mwingine au nia yako ni kutueleza kwamba yeye ni mali zaidi kuliko walio okotwa jalalani? ?? Na ambaye alishindwa "akili" na JK mwenye Gentlemen pass na akamweka "Ikulu"
 
Wazee wetu na nyinyi muachage kujifanya wajuaji.

Mark James mwandoysa aliyepata kuwa Waziri wa mda mrefu wa awamu ya tatu na ya nne inasemekana kanyimwa kibali cha kwenda kuonana na Rais toka mwezi Juni.

Chanzo cha uhakika toka watu wake wa karibu vinatabanaisha bwana mkubwa inawezekana hataki hata kumsikia achilia mbali kuonana naye.'Toka mwezi wa sita anabembeleza aonane na bwana mkubwa lakini hajapatiwa jawabu hadi hivi leo'alisema mnyetishaji wetu.

Mytake;Mwandosya ulichagua kumpinga JPM sasa ya nini unabembeleza kwenda kujikomba na kupiga magoti ilhali wewe ni mbabe!?

Ikulu ni peponi kwamba usipoingia basi utakuwa motoni?
 
Huyo unaye muongelea ni mwandosya wa kuchonga tunanaemjua sisi hawezi bembeleza,ana misimamo take usipokubaluana Nate yeye anakuachia offisi muulize Jk wakiwa wizara ya nishati,wewe sema nahamu kushikia akisema chochote.
 
Wazee wetu na nyinyi muachage kujifanya wajuaji.

Mark James mwandoysa aliyepata kuwa Waziri wa mda mrefu wa awamu ya tatu na ya nne inasemekana kanyimwa kibali cha kwenda kuonana na Rais toka mwezi Juni.

Chanzo cha uhakika toka watu wake wa karibu vinatabanaisha bwana mkubwa inawezekana hataki hata kumsikia achilia mbali kuonana naye.'Toka mwezi wa sita anabembeleza aonane na bwana mkubwa lakini hajapatiwa jawabu hadi hivi leo'alisema mnyetishaji wetu.

Mytake;Mwandosya ulichagua kumpinga JPM sasa ya nini unabembeleza kwenda kujikomba na kupiga magoti ilhali wewe ni mbabe!?
hizi ni hoja chonganishi.....!
 
Wazee wetu na nyinyi muachage kujifanya wajuaji.

Mark James mwandoysa aliyepata kuwa Waziri wa mda mrefu wa awamu ya tatu na ya nne inasemekana kanyimwa kibali cha kwenda kuonana na Rais toka mwezi Juni.

Chanzo cha uhakika toka watu wake wa karibu vinatabanaisha bwana mkubwa inawezekana hataki hata kumsikia achilia mbali kuonana naye.'Toka mwezi wa sita anabembeleza aonane na bwana mkubwa lakini hajapatiwa jawabu hadi hivi leo'alisema mnyetishaji wetu.

Mytake;Mwandosya ulichagua kumpinga JPM sasa ya nini unabembeleza kwenda kujikomba na kupiga magoti ilhali wewe ni mbabe!?
Kwani kwenda kumuona Rais ni kuurithi ufalme Wa milele!!!??

Siamini kama Mwandosya anatabia ya kujipendekeza kwa mtu! Hasa mtu mwenyewe akiwa huyu!!
 
Tuishie hapo kwa leo
 
Prof. Mwandosya wewe ni prof. nguli unaeshimika sana sana, angali usiwe kama yule 'propesa pumba wa bgrn malapa'
 
Back
Top Bottom