jimmykb197
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 485
- 482
Sasa giza ni nini?Hamna mkuu..giza siyo kitu halisi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa giza ni nini?Hamna mkuu..giza siyo kitu halisi!!
GodKwa mtazamo wa akili za kibinadamu tu, kila kitu hapa kitagonga mwamba! Ni nani aliyekuwepo hapo kabla anayeweza kuthibitisha chazo cha hivi vyote?
Kwa mtazamo na uelewa wangu binafsi tena hafifu naweza sema mianga ni mwonekano wa mwanga zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja au wakati tofauti kutegemea na namna huyo mwonaji alivyo weza kuona, tena anaweza kuitofautisha labda kwa rangi nk. Nuru ni mwanga mkali zaidi unaoweza kuonekana kuzidi mwanga mwingine unao onekana kwa wakati huohuo hata ukaweza kuona ziada yake. AsanteNaomba kuongezea swali hapa.
Tofauti ya mianga, mwanga na nuru ni nin ukitoa ile tofauti ya matamshi.[emoji56]
.Kwa hiyo matokeo ya kukosekana kwa giza ndiyo mwanga? Vipi kama hivi vyote vikiwa havipo mkuu?[emoji23]
Hapo upo sahihi, kwa hivyo akili zetu haziwezi kuthibitisha kitu wala uzoefu tulionao
Kwa maelezo haya inaonekana hapa mwanga ndiyo unaojongea ama vipi?.
Hapana mwanga sii matokeo ya kukosekana kwa giza bali ni matokeo ya kurejeshwa kwa mwanga.
Yes, na hiyo ni inaonesha kwamba kuna a very very intelligent designer, you can call him God if you likeHapo upo sahihi, kwa hivyo akili zetu haziwezi kuthibitisha kitu wala uzoefu tulionao
Giza ni ukosefu wa nuru..!Mwanga una vyanzo vingi kama vile jua, mwezi, n.k je vipi kuhusu giza huletwa na vyanzo vipi? Giza ni nini hasa? Je kuna uvumbuzi wowote wa vifaa viletavyo giza? Karibuni.
Kwa hiyo mwezi ni kitu gani hasa? Ningependa kufahamu
I don't know, I believe. If you want to know everything then ww utakua mtu wa ajabu na hutaweza jua kila kitu
mkuu sijauliza kuhusu kupatwa kwa giza, nimeuliza maana ya giza ni ipi? Tuna vifaa vingi vitoavyo mwanga, je hakuna ugunduzi wowote wa kisayansi wenye uwezo wa kuzalisha giza kwa matumizi fulani?Giza ni kuziba mwanga, hivyo kupatwa kwa giza ni pale unapozuia mwanga
Giza ndio asili ya mwangaMwanga una vyanzo vingi kama vile jua, mwezi, n.k je vipi kuhusu giza huletwa na vyanzo vipi? Giza ni nini hasa? Je kuna uvumbuzi wowote wa vifaa viletavyo giza? Karibuni.
Hakutakuwa na mwanga wala giza mkuuKwa hiyo matokeo ya kukosekana kwa giza ndiyo mwanga? Vipi kama hivi vyote vikiwa havipo mkuu?[emoji23]
Lakini umekitajaHakuna kitu kinaitwa giza mkuu...
linaweza kusafiri pale utowekaji wa mwanga unavyotokea na lenyewe ktk sekunde hiyohiyo linatokea.Tukiwa tunaendelea na mjadala wetu, kwani giza halisafiri kwa spidi kama mwanga?