Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kama kuna watani wa jadi wengine wasiotajwa sana basi ni hizi mbari mbili
Mabinti under 25
Wamama( mashangazi) over 40
Kesi ya binti under 18 aliyebakwa na kulawitiwa na vijana under 30
Refer ule Mziki wa bongo fleva uliokuwa unaimba wakati wa kurekodi lile tukio.. 'Mwana kayataka'
Mtaani kuna vita kubwa sana kati ya Wamama na mabinti wabichi, chuchu konzi, chuchu saa sita, chuchu msimamo... Asilimia 90 ya hawa mabinti wanatembea na wababa watu wazima wenye familia na mahusiano rasmi. Hili ni pigo kubwa kwa Wamama
Hawa kina mama nao ambao kwa asilimia kubwa wako kwenye ndoa, mahusiano rasmi ama wajane baada ya kuona matendo ya mabinti wakaamua kulipiza kwa vijana wa kiume maarufu kama vibenteni na mario.. Lakini bado wakazidiwa nguvu na mabinti na kupigwa tatu bila..!
Afande Malya aliyesababisha mijadala mikubwa leo na hatimaye kutumbuliwa alikuwa kiwakilishi cha kaliba yake na akaongea ya moyoni sehemu isiyo sahihi
Ukitaka kuthibitisha hili niambie ni wamama wangapi walijitojekeza waziwazi bila maslahi ya kisiasa kupaza sauti na kulaani lile tukio? Fanzine katika umoja na uhilisia wao ndio walikuwa mstari wa mbele hata sasa..!
Wababa ni wepesi mno ku move on wanapopigwa chini na vibinti lakini si wamama mishangazi .. Noma na nongwa yao si ya dunia hii...!
Afande Mallya kwa asilimia nyingi ni mganga kwenye hili.. Katumbuliwa kutokana na ukweli wake wa moyo lakini badala ya kumsaidia ameongezewa sononi, hasira na visasi dhidi ya mabinti... Tukumbuke nje ya mavazi rasmi ya kazini ni mwanamke mshangazi kama wengine.
The war is on...!
Good night Tanganyika❤📌🔨 My beloved country!
Mabinti under 25
Wamama( mashangazi) over 40
Kesi ya binti under 18 aliyebakwa na kulawitiwa na vijana under 30
Refer ule Mziki wa bongo fleva uliokuwa unaimba wakati wa kurekodi lile tukio.. 'Mwana kayataka'
Mtaani kuna vita kubwa sana kati ya Wamama na mabinti wabichi, chuchu konzi, chuchu saa sita, chuchu msimamo... Asilimia 90 ya hawa mabinti wanatembea na wababa watu wazima wenye familia na mahusiano rasmi. Hili ni pigo kubwa kwa Wamama
Hawa kina mama nao ambao kwa asilimia kubwa wako kwenye ndoa, mahusiano rasmi ama wajane baada ya kuona matendo ya mabinti wakaamua kulipiza kwa vijana wa kiume maarufu kama vibenteni na mario.. Lakini bado wakazidiwa nguvu na mabinti na kupigwa tatu bila..!
Afande Malya aliyesababisha mijadala mikubwa leo na hatimaye kutumbuliwa alikuwa kiwakilishi cha kaliba yake na akaongea ya moyoni sehemu isiyo sahihi
Ukitaka kuthibitisha hili niambie ni wamama wangapi walijitojekeza waziwazi bila maslahi ya kisiasa kupaza sauti na kulaani lile tukio? Fanzine katika umoja na uhilisia wao ndio walikuwa mstari wa mbele hata sasa..!
Wababa ni wepesi mno ku move on wanapopigwa chini na vibinti lakini si wamama mishangazi .. Noma na nongwa yao si ya dunia hii...!
Afande Mallya kwa asilimia nyingi ni mganga kwenye hili.. Katumbuliwa kutokana na ukweli wake wa moyo lakini badala ya kumsaidia ameongezewa sononi, hasira na visasi dhidi ya mabinti... Tukumbuke nje ya mavazi rasmi ya kazini ni mwanamke mshangazi kama wengine.
The war is on...!
Good night Tanganyika❤📌🔨 My beloved country!