Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
Nimepata chumba katika hilo soko,ile floor ya katikati...nilitaka floor ya chini lakini zimejaa,nilipanga niweke nguo lakini kwa floor hii ya kati nguo ni changamoto.
Naombeni kujua kwa wenye kulijua soko lile,je ile floor ya kati naweza weka biashara gani ikafaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni kujua kwa wenye kulijua soko lile,je ile floor ya kati naweza weka biashara gani ikafaa?
Sent using Jamii Forums mobile app