Mwanya unaniharibia mipango, nisaidieni!

Wakati mwingine ni kujikubali tu na kumshukuru Mungu kwa yote. Mimi pia nao kama wako halafu umepitiliza na kuyagawa meno ya chini pia, hata siku moja haijasumbua confidence yangu. Lakini kama inakupunguzia kujiamini waone wataalamu husika.
 
Hao ortho... nawapata wapi mkuu wangu? Kuna unayemjua unipe???
 
Dentist mzuri atakuwekea " Teeth gap band " itakayobana meno vizuri. Unaweza kwenda kwny hospitali yoyote ukamwambia daktari wa meno akuwekee au fanya ordering ya hizo bands kisha uwapelekee wakufitishie kwny meno.
 
NAOMBA KUULIZA HIVI UUKIWEKA HIZO BRACES KWENYE MENO HUWA AZIUMI YANI MDA SASA AMBAO DAKTARI ANAKUWEKEA HIVYO VICHUMA VIDOGO VIDOGO. NAHUWA WAKIVIWEKA NI WANATOBOA JINO AU WANAWEKA GUNDI
 
NAOMBA KUULIZA HIVI UUKIWEKA HIZO BRACES KWENYE MENO HUWA AZIUMI YANI MDA SASA AMBAO DAKTARI ANAKUWEKEA HIVYO VICHUMA VIDOGO VIDOGO. NAHUWA WAKIVIWEKA NI WANATOBOA JINO AU WANAWEKA GUNDI
Haiumi hata kidogo. Maumivi unaweza sikia baada ya kuweka. Lakini siyo makali
 
Inawezekana kuya-adjust! Ila gharama zake ni kubwa kidgo! Kma upo dar nenda Rani Dental Clinic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…