Mwanya unaniharibia mipango, nisaidieni!

Mwanya unaniharibia mipango, nisaidieni!

Nenda pale magomeni karibu na watumishi house kuna hospital inatwa omega dental clinic ni wataalamu wa meno sanaaaa
 
Dentist mzuri atakuwekea " Teeth gap band " itakayobana meno vizuri. Unaweza kwenda kwny hospitali yoyote ukamwambia daktari wa meno akuwekee au fanya ordering ya hizo bands kisha uwapelekee wakufitishie kwny meno.
Ok, zinapatkana wapi? Hizo "band" ni spea za meno au nyuzi za kushikizia?
 
NAOMBA KUULIZA HIVI UUKIWEKA HIZO BRACES KWENYE MENO HUWA AZIUMI YANI MDA SASA AMBAO DAKTARI ANAKUWEKEA HIVYO VICHUMA VIDOGO VIDOGO. NAHUWA WAKIVIWEKA NI WANATOBOA JINO AU WANAWEKA GUNDI
Na je hua hazileti mwonekano wa kike (kishoga) kama akiwekewa mwanaume? Maana sijawah ona kwa mwanaume
 
Ok, zinapatkana wapi? Hizo "band" ni spea za meno au nyuzi za kushikizia?
Ni nyuzi za kubana meno. Nimeandika kuwa unaweza kuorder online, kwa mfano kwa kutumia ebay...lakini ni vizuri uende kwa daktari wa meno ili akufitishie.
 
147a8f4b0e8232616c502cad2d9d6544.jpg
unaona hata mm bado haya jakaa yakabanana vizuri ko ww jikubali tu
hiyo rangi ya meno ni kutokana na dawa ya meno utumiayo ama?
 
Naona unapendeza tu usitoe, na ujitahidi kukenua wakati wa kucheka.
 
Wataalam,

Nina mwanya kwenye taya la chini. Mwanzo niliona kama issue ya kawaida tu coz ilikua ngumu mtu kunotice, mwanya ulikua mdogo sana. But kadiri siku zinavoenda naona unazidi kupanuka kiasi kwamba mtu asiyenifahamu leo anaweza kufikiri nimeng'oa jino (nina pengo). Sometimes ninapoongea na mtu nakosa confidence ya kumuangalia usoni au nakua nalazimisha kufumba kinywa ili mwanya usionekane.

Siufurahii kabisa hali hii na ningependa kuziba au kuadjust meno yafunge (kama inawezekana). Naomba kufahamu ni hosipitali gani au Dr yupi hapa Dsm anaweza fanya hii kazi na teknolojia ipi itatumika (kuadjust, kuweka jino la 33, n.k). Pia naomba kujulishwa gharama zake na muda utakaotumika hadi kurekebisha hii hali kama kuna anayefahamu au aliwahi fanya tiba hii.

NB:
*Jinsi yngu ni ME
*Umri early 30's
*Sijawahi ng'oa jino

aefe2fcd18825dc94369460c40581257.jpg
Mwanya ni urembo tosha.Wewe vipi ?
 
Wataalam,

Nina mwanya kwenye taya la chini. Mwanzo niliona kama issue ya kawaida tu coz ilikua ngumu mtu kunotice, mwanya ulikua mdogo sana. But kadiri siku zinavoenda naona unazidi kupanuka kiasi kwamba mtu asiyenifahamu leo anaweza kufikiri nimeng'oa jino (nina pengo). Sometimes ninapoongea na mtu nakosa confidence ya kumuangalia usoni au nakua nalazimisha kufumba kinywa ili mwanya usionekane.

Siufurahii kabisa hali hii na ningependa kuziba au kuadjust meno yafunge (kama inawezekana). Naomba kufahamu ni hosipitali gani au Dr yupi hapa Dsm anaweza fanya hii kazi na teknolojia ipi itatumika (kuadjust, kuweka jino la 33, n.k). Pia naomba kujulishwa gharama zake na muda utakaotumika hadi kurekebisha hii hali kama kuna anayefahamu au aliwahi fanya tiba hii.

NB:
*Jinsi yngu ni ME
*Umri early 30's
*Sijawahi ng'oa jino

aefe2fcd18825dc94369460c40581257.jpg
Mwanya wa kimasai huo,njoo Arusha nyumbani kakaangu!
 
Mkuu,mbona una meno kama mahindi ya masika yaliyokuzwa kwa mbolea ya Nitrate?
Bado cyo issue sana nenda Muhimbili kitengo cha meno jaribu kuonana na dentist Huyo ndyo atakupa ushaur maridhawa!
 
Back
Top Bottom