Mwanya unaniharibia mipango, nisaidieni!

Mwanya unaniharibia mipango, nisaidieni!

Wataalam,

Nina mwanya kwenye taya la chini. Mwanzo niliona kama issue ya kawaida tu coz ilikua ngumu mtu kunotice, mwanya ulikua mdogo sana. But kadiri siku zinavoenda naona unazidi kupanuka kiasi kwamba mtu asiyenifahamu leo anaweza kufikiri nimeng'oa jino (nina pengo). Sometimes ninapoongea na mtu nakosa confidence ya kumuangalia usoni au nakua nalazimisha kufumba kinywa ili mwanya usionekane.

Siufurahii kabisa hali hii na ningependa kuziba au kuadjust meno yafunge (kama inawezekana). Naomba kufahamu ni hosipitali gani au Dr yupi hapa Dsm anaweza fanya hii kazi na teknolojia ipi itatumika (kuadjust, kuweka jino la 33, n.k). Pia naomba kujulishwa gharama zake na muda utakaotumika hadi kurekebisha hii hali kama kuna anayefahamu au aliwahi fanya tiba hii.

NB:
*Jinsi yngu ni ME
*Umri early 30's
*Sijawahi ng'oa jino
aefe2fcd18825dc94369460c40581257.jpg

mmmh mbona una mianya mingi? acha utatafuta matatizo bure koz hiyo ni uimbaji wa Mungu
 
We kasoro moja tu ya pengo inakuhangaisha, tena imejificha, ingekuwa Mungu kakujaalia kasoro za nje kaka chongo, makengeza, au ingekuwa meno yote hakuna, au kasoro nyingine yoyote isiyorekebishika ungefanyaje.
Acha kumkosoa muumba wako. Mshukuru Mungu vile ulivyo ndugu. Usitafute makubwa.
 
Wataalam,

Nina mwanya kwenye taya la chini. Mwanzo niliona kama issue ya kawaida tu coz ilikua ngumu mtu kunotice, mwanya ulikua mdogo sana. But kadiri siku zinavoenda naona unazidi kupanuka kiasi kwamba mtu asiyenifahamu leo anaweza kufikiri nimeng'oa jino (nina pengo). Sometimes ninapoongea na mtu nakosa confidence ya kumuangalia usoni au nakua nalazimisha kufumba kinywa ili mwanya usionekane.

Siufurahii kabisa hali hii na ningependa kuziba au kuadjust meno yafunge (kama inawezekana). Naomba kufahamu ni hosipitali gani au Dr yupi hapa Dsm anaweza fanya hii kazi na teknolojia ipi itatumika (kuadjust, kuweka jino la 33, n.k). Pia naomba kujulishwa gharama zake na muda utakaotumika hadi kurekebisha hii hali kama kuna anayefahamu au aliwahi fanya tiba hii.

NB:
*Jinsi yngu ni ME
*Umri early 30's
*Sijawahi ng'oa jino
aefe2fcd18825dc94369460c40581257.jpg
Mbona kawaida mkuu! Kuwa na amani! Ukienda huko ndo watakuharibu sasa
 
Nenda kwa dentist akisha Fanya tathmini ikiwa ni pamoja na kuangalia kama kuna jino lililoong'olewa au LA. Dr anayeweza kufunga braces yuko Smile dental clinic iko Posta karibu Holiday Inn city centre
 
Wataalam,

Nina mwanya kwenye taya la chini. Mwanzo niliona kama issue ya kawaida tu coz ilikua ngumu mtu kunotice, mwanya ulikua mdogo sana. But kadiri siku zinavoenda naona unazidi kupanuka kiasi kwamba mtu asiyenifahamu leo anaweza kufikiri nimeng'oa jino (nina pengo). Sometimes ninapoongea na mtu nakosa confidence ya kumuangalia usoni au nakua nalazimisha kufumba kinywa ili mwanya usionekane.

Siufurahii kabisa hali hii na ningependa kuziba au kuadjust meno yafunge (kama inawezekana). Naomba kufahamu ni hosipitali gani au Dr yupi hapa Dsm anaweza fanya hii kazi na teknolojia ipi itatumika (kuadjust, kuweka jino la 33, n.k). Pia naomba kujulishwa gharama zake na muda utakaotumika hadi kurekebisha hii hali kama kuna anayefahamu au aliwahi fanya tiba hii.

NB:
*Jinsi yngu ni ME
*Umri early 30's
*Sijawahi ng'oa jino
aefe2fcd18825dc94369460c40581257.jpg
Hiyo inapaswa uwaone orthodontist. Dentist wakawaida hawafanyi teeth alignment. Ukiwaona wataweka teeth braces. Zinaanzia dola 1500. Utakaa nazo kama mwaka. Pia utakendwa at least kila miezi miwili kwa checkup. Braces, shida yake ni kuwa hutaweza kula vitu vigumu kama groundnuts au cashew, apple nk, kwa muda kidogo.

images (5).jpg
 
Back
Top Bottom