Mmmmh hapo nilipogongomea msumari mie napapenda sana zaidi ya mwanya, na hasa ile ya mwisho loooo:help:
...Big up kwa wanawake warembo wa JF wenye mwanya (kama mpo, ni warembo mjitambue.) W'wake wenye mwanya Mnapendeza sana. Halafu, wote niliobahatika kukutana nao (wenye mwanya-mdomoni) ni warembo tosha.
Nini mtazamo wako?
Mhhhh! Kumbe nawe una ugonjwa wa mwanya eeh!? Hahahahahahah LOL! Hivi karibuni nilimuona binti mmoja wa kibongo yaani mwanya wake umempendeza mno! halafu katika kila idara Muumba kampendelea guu la kukata na shoka, Jicho mhhhhh! na vinginevyo vyote vimeumbwa kwa upendeleo maalum na Muumba wetu. Yaani! Mhhhh! acha tu Mkuu Mbu. Nasikia siku hizi majuu wasio na mwanya "wanaununua" kwa bei mbaya kupitia kwa madentist wao maana wamegundua waliojaliwa kuwa nao unawapendeza sana.
...mmnnnnhhh, nini tenaa?
Relax and enjoy the ride bana.
wow...Maria Roza you are blessed! ondoa haraka hizo braces!!!
...Shabaaasshhh! kaka umenifurahisha sana. Kumbe na hapa tunazungumza lugha moja?
Sema wewe bana, jamaa hawaamini maneno yangu humu. Yaani kama namuona huyo mrembo uliyemtaja, acha tu! ha ha ha...
Hahahahaha LOL! Mbu! miye nashangaa sana wanaosema kwamba mwanya ni ukilema. Nimejaribu kuwakumbuka watu ninaowafahamu kwa haraka haraka wake kwa waume waliojaliwa kuwa na mwanya na wote unawapendezesha sana.
...naam, naam..Vanessa Paradis naye ana mvuto na mwanya wake...
Sante sana...keep on smiling, mwanya urembo adimu huo!
You are truly blessed!