KERO Mwanza: Bili za Maji za MWAUWASA zinatisha

KERO Mwanza: Bili za Maji za MWAUWASA zinatisha

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Kwa miezi ya karibuni bili za maji kwa wateja wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) zimekuwa juu mno na hatujui ni sababu gani.

Mimi nafikiria gharama ya maji yanayopotea njiani yanajumuishwa kwa wateja. Siyo mimi tu ninayelalamika kadhia hii imewakumba wateja wengi.

Tunaiomba MWAUWASA watoke kwenye vyombo vya habari na kueleza ni sababu gani bili zao zimekuwa juu sana kwa siku za karibuni.
 
Kwa miezi ya karibuni bili za maji kwa wateja wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) zimekuwa juu mno na hatujui ni sababu gani. Mimi nafikiria gharama ya maji yanayopotea njiani yanajumuishwa kwa wateja. Siyo mimi tu ninayelalamika kadhia hii imewakumba wateja wengi. Tunaiomba MWAUWASA watoke kwenye vyombo vya habari na kueleza ni sababu gani bili zao zimekuwa juu sana kwa siku za karibuni.
Kwanini maji yanayotoka kwenye ziwa lililo karibu mita kadhaa hapo 'Capri-Point' kusambazwa kwenye jiji dogo hivyo gharama zinapandishwa?!!

Kwanini wasijenge miundo mbinu kama walivyowajengea jeshi kule kishili mabomba manene yanapeleka maji juu ya vilima vya mawe lakini waanchi waliko chini hawana maji ni dharau kubwa sana.

Serikali inatakiwa iwathaminiwananchi kwanza kabla ya hata hayo majeshi
 
Kwanini maji yanayotoka kwenye ziwa lililo karibu mita kadhaa hapo 'Capri-Point' kusambazwa kwenye jiji dogo hivyo gharama zinapandishwa?!!

Kwanini wasijenge miundo mbinu kama walivyowajengea jeshi kule kishili mabomba manene yanapeleka maji juu ya vilima vya mawe lakini waanchi waliko chini hawana maji ni dharau kubwa sana.

Serikali inatakiwa iwathaminiwananchi kwanza kabla ya hata hayo majeshi
Hizi idara za maji karibu zote ni majambazi wakubwa!
 
Back
Top Bottom