YAANI WEWE MTOA MADA HUNA AKILI TIMAMU MTU KAAMIWA AHAME KAPEWA MUDA WA KUHAMA MPAKA ANAKUJA KUBOMOLEWA BADO UNAMHURUMIA?Hapa ni pale walipokuwa wanabomoa mabanda yao kwenye maeneo yaliyokatazwa.
Sikufurahishwa na Wamachinga kuzagaa kila mahali, lakini kilio chao kimenisikitisha sana...
Uelewa wake ni mdogo sana, Platform ya wapinzani kulisemea hili ni ipi kwa sasa? Awatengenezee jukwaa juu ya banda lake la umachinga halafu awatafutie ulinzi wasikamatwe na polisi. Wanadhani kuwa mpinzani wa kweli nchi hii ni jambo la mchezo.Imekuuma ehh?we c ndo ccm kindakindaki sasa kula jeuri yakooo..wakt wanapitisha wabunge wote wa ccm mlisheherkea hadi na ng'ombe zikachichwaa....majina yote mabaya mkawapa wapinzani..sasa leo limekufika mmachinga mmoja ww unaanza kuuona umuhimu wa upinzanii...unataka hizo kelele waje kupigia kibarazan kwako?pambanana hali yako
Hahahaa!hilo banda washaling'oa tayari haitowezkanaa...kilichopo atulie tu dawa imuingiee...walijiona sanaa kpnd cha mzee..sasa wanavuna walichopandaUelewa wake ni mdogo sana, Platform ya wapinzani kulisemea hili ni ipi kwa sasa? Awatengenezee jukwaa juu ya banda lake la umachinga halafu awatafutie ulinzi wasikamatwe na polisi. Wanadhani kuwa mpinzani wa kweli nchi hii ni jambo la mchezo.
Weka siasa kandoHivi vyama vya upinzani viko wapi kwenye hii issue?? hapo ndio unagundua upinzani wa bongo ni zero kabisa. Sasa mpaka wamsubiri huyo mkimbizi wao alieko belgium aone kwa video ndio halafu aombe interview bbc au deutsche welle. Upinzani bongo mavi kabisa na hautashika dola milele, maana issue ya wamachinga ingewajazia kura...
Wewe ulitokea wapi Hadi unapost humu jf?Kwani walitokea wapi mpaka wakafika hapo?
Usiseme katili sema serikali ya watu inayowasikiliza watu wake inampango endelevu , uko kwenye hatua ya upempuzi yakinifu, watapata eneo labda karibu na ziwa waendelee na shughuli zao.wawe wavumilivu serikali katili ya CCM itafyeka pori na kuwapeleka huko wakafanye biashara.
Hata mimi sijuiYulee mzee wa kwanza kasema Mungu kama anasikia afanye lolote?anamaanisha nn[emoji3525]
Your mom knowsWewe ulitokea wapi Hadi unapost humu jf?