Legrema2050
JF-Expert Member
- Jun 5, 2021
- 606
- 708
Ila pale makoroboi kuna wadada wana mishepu ya haja wanakuja kufanya manunuzi ya mahitaji mbali mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani CCM ambao ndio waliwaambia wamachinga watembee kifua mbele wako wapi? Si kuna wabunge zaidi ya 360+ wanakula mishahara ya bure?Si mliaminishwa kwamba wapinzani wanatuchelewesha,leo mnawalilia?sasa acha watu wajifunze 'the hard way'Hivi vyama vya upinzani viko wapi kwenye hii issue?? hapo ndio unagundua upinzani wa bongo ni zero kabisa. Sasa mpaka wamsubiri huyo mkimbizi wao alieko belgium aone kwa video ndio halafu aombe interview bbc au deutsche welle. Upinzani bongo mavi kabisa na hautashika dola milele, maana issue ya wamachinga ingewajazia kura...
Huko kwenu Mnz si ndio mliompatia Mama Uchifu tena mkampa na jina Hangaya??? Leo kawageuka mnaanza kutafuta pa kutokea, pambaneni na Hali yenu.Hivi vyama vya upinzani viko wapi kwenye hii issue?? hapo ndio unagundua upinzani wa bongo ni zero kabisa. Sasa mpaka wamsubiri huyo mkimbizi wao alieko belgium aone kwa video ndio halafu aombe interview bbc au deutsche welle. Upinzani bongo mavi kabisa na hautashika dola milele, maana issue ya wamachinga ingewajazia kura...
Namimi nasema wapinzani waendelee na mambo yao waachache na hii operation ya wamachinga,hawa ndio walikuwa viherehere kutoa matamko sijui wamachinga nchi nzima tunamuunga mkono yule Bwana aliyetangulizwa kuzimu,acha wale matunda ya uchaguzi waoMuwakome wapinzani, mnawalipa mshahara kwani? Wale waliojazana bungeni na wanalipwa kwa kodi yako wamekusaidieni nini mpaka sasa!?
Mshazoea kuwafanya wapinzani punching bag zenu, yakiwakuta mnakaa pembeni kuwaita viherehere, Waliibiwa kura mwaka jana mliwasaidia kitu gani? Pambaneni na hali zenu ebooo!
Hii ishu siyo ya upinzani na hata wakikaa kimya haiwanyimi kura. Upinzani wametusaidia kwa muda mrefu sana lakini tulishindwa kuwashika. Tena walisema wapinzani wanatuchelewesha! Hapo mwanza kuanzia wenyeviti, madiwani na wabunge ni wa ccm, wakuu wa wilaya na mikoa ni wa ccm. Bado tu unaomba upinzani wazungumzie hili au unataka waonekane wachochezi? Mi nadhani upinzani waendelee kupambana na tume ya uchaguzi pamoja na katiba mpya.Hivi vyama vya upinzani viko wapi kwenye hii issue?? hapo ndio unagundua upinzani wa bongo ni zero kabisa. Sasa mpaka wamsubiri huyo mkimbizi wao alieko belgium aone kwa video ndio halafu aombe interview bbc au deutsche welle. Upinzani bongo mavi kabisa na hautashika dola milele, maana issue ya wamachinga ingewajazia kura...
Hapa ni pale walipokuwa wanabomoa mabanda yao kwenye maeneo yaliyokatazwa.
Sikufurahishwa na Wamachinga kuzagaa kila mahali, lakini kilio chao kimenisikitisha sana, Viongozi waliowatapeli hawa watu na kuwaweka kwenye maeneo hatarishi hadi wakajisahau namna hii walaaniwe haraka.
Mpumbafu!!Hivi vyama vya upinzani viko wapi kwenye hii issue?? hapo ndio unagundua upinzani wa bongo ni zero kabisa. Sasa mpaka wamsubiri huyo mkimbizi wao alieko belgium aone kwa video ndio halafu aombe interview bbc au deutsche welle. Upinzani bongo mavi kabisa na hautashika dola milele, maana issue ya wamachinga ingewajazia kura...
Muwakome wapinzani, mnawalipa mshahara kwani? Wale waliojazana bungeni na wanalipwa kwa kodi yako wamekusaidieni nini mpaka sasa!?
Mshazoea kuwafanya wapinzani punching bag zenu, yakiwakuta mnakaa pembeni kuwaita viherehere, Waliibiwa kura mwaka jana mliwasaidia kitu gani? Pambaneni na hali zenu ebooo!
Tena Gazeti la Chama
Hivi vyama vya upinzani viko wapi kwenye hii issue?? hapo ndio unagundua upinzani wa bongo ni zero kabisa. Sasa mpaka wamsubiri huyo mkimbizi wao alieko belgium aone kwa video ndio halafu aombe interview bbc au deutsche welle. Upinzani bongo mavi kabisa na hautashika dola milele, maana issue ya wamachinga ingewajazia kura...
Tukutane 2025
Utafanya nini?Tukutane 2025
Si mtasema wapinzani wanapinga kila kitu.Hivi vyama vya upinzani viko wapi kwenye hii issue?? hapo ndio unagundua upinzani wa bongo ni zero kabisa. Sasa mpaka wamsubiri huyo mkimbizi wao alieko belgium aone kwa video ndio halafu aombe interview bbc au deutsche welle. Upinzani bongo mavi kabisa na hautashika dola milele, maana issue ya wamachinga ingewajazia kura...