ndio wakome na mlome kabisa yena nisiwasikie mnajiliza liza nakujipitisha mbele yangu ntawapa bakola za tom an jerry mkimbie mmenyanyua mikono alaaa,mnaturudisha nyuma kwa vitamaa vidogo vidogo,watu tumeanza kuifuatilia siasa enzi za kina mrema mpaka saizi tunaanza kuzeeka hatuoni chochote sababu yenu kudanganywa mnarudi nyuma,mkomee mkome na wawafukuze tu,
bado hii miana siasa inayopenda kuhama hama kuvunja nguvu wenzao,ndo nina hasira nao kuliko hao machinga kudadeki ngojeni tu,
hii dunia si inazunguka? nyie sana siasa feki feki wa kushibisha mitumbo yenu mmetupotezea muda toka tuna miaka kumi naaa samsing mpaka tunazeeka mnatudanganya hatua ya mwisho mnajidai wahamiaji wazuri kuliko ma forenaz,
kuna mwngine tumbili flan kitoto cha juzi tu hapa kilipata ctedit kujibizana kikajiona kimekua nacho kikarukia hukooo leo kina tuambia eti kilimo utajiri asee
tuacheni tuzeeke tu msitusumbue nina hasira sana na wanafiki
Fukuzaneni mpaka nje ya nchi@&&?#*(@& zenu alaaa!