beberu_mzalendo
Senior Member
- Dec 11, 2020
- 129
- 103
Yulee mzee wa kwanza kasema Mungu kama anasikia afanye lolote?anamaanisha nn☹️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yulee mzee wa kwanza kasema Mungu kama anasikia afanye lolote?anamaanisha nn☹️
Hujui kiswahili? Kusikitishwa ina maana ipi?Kasema amesikitishwa na vilio vyao
Serikali katili ya CCM iliwatapeli hao machinga na itaendelea kuwatapeli kila uchaguzi utakapokaribia full stop.usiseme katili sema serikali ya watu inayowasikiliza watu wake inampango endelevu , uko kwenye hatua ya upempuzi yakinifu, watapata eneo labda karibu na ziwa waendelee na shughuli zao. LAKINI BWANA YULEE ALISEMA WAKATI WA JK, HILI NI BOMU KAMA TAIFA HALITAKUWA MAKINI. SASA WAKATI UNANYEMELEAQ KWA SPIDI YA MWANGA.
Leo ndio wanamlilia Mungu? Machinga walikuwa wanadharau kusali walikuwa hawaendi kanisani wala msikitini kutwa umachinga tu!!Hapa ni pale walipokuwa wanabomoa mabanda yao kwenye maeneo yaliyokatazwa.
Sikufurahishwa na Wamachinga kuzagaa kila mahali, lakini kilio chao kimenisikitisha sana, Viongozi waliowatapeli hawa watu na kuwaweka kwenye maeneo hatarishi hadi wakajisahau namna hii walaaniwe haraka.
Kwani nimepinga basi ?Kwa suala la Wamachinga sipo pamoja na wewe....Hawa watu wafurushwe mara moja
Hapa ni pale walipokuwa wanabomoa mabanda yao kwenye maeneo yaliyokatazwa.
Sikufurahishwa na Wamachinga kuzagaa kila mahali, lakini kilio chao kimenisikitisha sana, Viongozi waliowatapeli hawa watu na kuwaweka kwenye maeneo hatarishi hadi wakajisahau namna hii walaaniwe haraka.
[emoji38][emoji38][emoji38]Leo ndio wanamlilia Mungu? Machinga walikuwa wanadharau kusali walikuwa hawaendi kanisani wala msikitini kutwa umachinga tu!!
Sasa tutarajie kuona makanisa na misikiti ikijaa machinga kusali kwa sana
Hapa ni pale walipokuwa wanabomoa mabanda yao kwenye maeneo yaliyokatazwa.
Sikufurahishwa na Wamachinga kuzagaa kila mahali, lakini kilio chao kimenisikitisha sana, Viongozi waliowatapeli hawa watu na kuwaweka kwenye maeneo hatarishi hadi wakajisahau namna hii walaaniwe haraka.
Wewe ule sio uchochoro ni barabara kubwa kabisa kama ya karuta, sema yale mabanda ya machinga miaka yote ndo yaliufanya huo mtaa uonekane uchochoroTrue kama sio barabarani pale nyerere road hawa wa njia ile ya uchochoro makoroboi wangewaacha.
Anaonekana ana chura piaErythrocyte Naomba namba za huyu mtangazaji nimemielewa
Upinzani mnawakumbuka mkiwa na shida , wao wakiwahitaji mko wapi ?!Hivi vyama vya upinzani viko wapi kwenye hii issue?? hapo ndio unagundua upinzani wa bongo ni zero kabisa. Sasa mpaka wamsubiri huyo mkimbizi wao alieko belgium aone kwa video ndio halafu aombe interview bbc au deutsche welle. Upinzani bongo mavi kabisa na hautashika dola milele, maana issue ya wamachinga ingewajazia kura...
Huelewekagi.......wwHapa ni pale walipokuwa wanabomoa mabanda yao kwenye maeneo yaliyokatazwa.
Sikufurahishwa na Wamachinga kuzagaa kila mahali, lakini kilio chao kimenisikitisha sana, Viongozi waliowatapeli hawa watu na kuwaweka kwenye maeneo hatarishi hadi wakajisahau namna hii walaaniwe haraka.
Anhaa sawasawa.Wewe ule sio uchochoro ni barabara kubwa kabisa kama ya karuta, sema yale mabanda ya machinga miaka yote ndo yaliufanya huo mtaa uonekane uchochoro
True 😀Machinga Wa makoroboi kero yao ni kushika shika watu ovyo hasa wadada
Wee mpumbavu sana ulitaka vyama vifanye nini? Ninyi si ndiyo mliokuwa mnamuabudu Magufuli kama mungu wenu?Hivi vyama vya upinzani viko wapi kwenye hii issue?? hapo ndio unagundua upinzani wa bongo ni zero kabisa. Sasa mpaka wamsubiri huyo mkimbizi wao alieko belgium aone kwa video ndio halafu aombe interview bbc au deutsche welle. Upinzani bongo mavi kabisa na hautashika dola milele, maana issue ya wamachinga ingewajazia kura...
Ohoooo !!!Machinga Wa makoroboi kero yao ni kushika shika watu ovyo hasa wadada