Huoni kama huko ni kuendeleza Mada hapa😥Nyuzi za Arusha Vs Mwanza zpo nyingi Sana , tushapeleka Uzi mpak thread ya mia na kitu huko tukibishana mwanza Vs Arusha , nenda huko ukaaupdate Wana watakuja...hapa unapoteza mda tuu , yaani mpka bar za Arusha zishapostiwa....unaharibu maudhui ya huu Uzi wa wanamwanza na vipicha vya Arusha mkuu
MKUU TUMECHOKA NA PICHA ZA MALAIKA, ROCK CITY MALL, ROUND ABOUT YA CCM..TUNAOMBA PICHA ZA MAENEO MENGINE..[emoji23][emoji23] mabatini,bugarika,buhongwa,nyasaka,mecco,igoma [emoji1787][emoji1787]Arusha hii ndio ya kuifananisha na Mwanza kwel[emoji1781][emoji1781][emoji1781][emoji1781]
🤣🤣MKUU TUMECHOKA NA PICHA ZA MALAIKA, ROCK CITY MALL, ROUND ABOUT YA CCM..TUNAOMBA PICHA ZA MAENEO MENGINE..[emoji23][emoji23] mabatini,bugarika,buhongwa,nyasaka,mecco,igoma [emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kapotea njia huyu charii ya'R.Nyuzi za Arusha Vs Mwanza zpo nyingi Sana , tushapeleka Uzi mpak thread ya mia na kitu huko tukibishana mwanza Vs Arusha , nenda huko ukaaupdate Wana watakuja...hapa unapoteza mda tuu , yaani mpka bar za Arusha zishapostiwa....unaharibu maudhui ya huu Uzi wa wanamwanza na vipicha vya Arusha mkuu
Arusha bado sana kwa mwanzaAya linganisheni na hicho kijiji chenu cha wavuvi
View attachment 1763889
View attachment 1763890
View attachment 1763891
View attachment 1763892
View attachment 1763899
🤣🤣🤣Arusha bado sana kwa mwanza
Mwanza is a way far from arusha
Mwanza is second after dar es salaam
Unaongelea kimkoa au unaongelea mji we pimbi , leta data za mji basi we mshamba uliyeoza Meno ..🤣🤣🤣
Unaongea Kwa uchungu Sana mkuu
Tembea braza usijifungie ziwani shauri yako
View attachment 1771750
🤣🤣🤣 We mnya ziwani mbona unapanikiUnaongelea kimkoa au unaongelea mji we pimbi , leta data za mji basi we mshamba uliyeoza Meno ..
Kanunue Colgate utoe huo uchafu ,🤣🤣🤣 We mnya ziwani mbona unapaniki
Kazi kunya kunya tu😎Kanunue Colgate utoe huo uchafu ,
Mchizi mandazi mbona hii page huwa unaipenda sana kila mara utaipost huwa hauna hoja zaidi ya kupost hii page yako hii ni zaid ya mara 32 unaipost.🤣🤣🤣
Unaongea Kwa uchungu Sana mkuu
Tembea braza usijifungie ziwani shauri yako
View attachment 1771750