Mwanza City: The Photo Gallery

Rufiji ndo panakimbiza sa hv ikifuatiwa na rwagasore , rwagasore imechememea baada ya soko kufungwa ....!! Hvi huna Raman ya hotel ya Yule mwekezaji anayetaka kujenga hotel ziwani
Ndio nasikia kwako mkuu
 
Naona mmejitahidi kutangaza Hotel za wanaume wenzenu bila gharama yoyote. Hayo mahotel yote hayamsaidii mtanzania wa mwanza anayewaza ada za watoto. Chakula. Kodi ya nyumba. Nk
Mawazo ya kimasikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…