Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkandarasi ni yule yule lakiniKiukweli stendi ya mabasi ya Ilemela(nyamhongolo bus terminal) nahisi itakuwa nzuri kuliko nyegezi bus terminus.
Mkandarasi ni yule yule lakini
Huwez lingamisha mchina na janja janja ya waswahili , mchina hajawin international market Kwa kubahatisha hao jamaa kazi Yao inaeleweka , cha msingi bajeti yako Tu ielewekeKiukweli stendi ya mabasi ya Ilemela(nyamhongolo bus terminal) nahisi itakuwa nzuri kuliko nyegezi bus terminus.
Lakini mohammed builders kajenga pia soko kuu la dodoma pamoja na stendi kuu ya dodoma.Huwez lingamisha mchina na janja janja ya waswahili , mchina hajawin international market Kwa kubahatisha hao jamaa kazi Yao inaeleweka , cha msingi bajeti yako Tu ieleweke
Nasikia wapo wanafanya uchunguzi liligubikwa na ufisadi wa kutisha, pia render walipaswa kujenga jengo la ghorofa lakini wakajenga kama ligodown.Naomba kujua, hivi kwanini jengo la abiria limesimama muda mrefu sasa, whats goin on??
Render iko vilevile hakuna utofauti labda ufisadi ndio sijui.Nasikia wapo wanafanya uchunguzi liligubikwa na ufisadi wa kutisha, pia render walipaswa kujenga jengo la ghorofa lakini wakajenga kama ligodown.
Render iko vilevile hakuna utofauti labda ufisadi ndio sijui.
Kipindi cha Magu ilionekana hili jengo ni la muda wangekuja kujenga jengo kubwa kama terminal 2 ya dar, kinachoonekana utawala huu wa sasa wanataka kulifanya hili ndio liwe main mipango ya kujenga jengo lingine inatupiliwa mbali.
Viongozi wa halmshauri plus wabunge nao wamelala hawataki kuchangamka kabisaNi kweli kiongozi lakini mimi kwa uchunguzi wangu nimekuja kugungua miradi mingi ya Mwanza huwa ina hujumiwa sana na pia haiwezi kukamilika kwa wakati yaani figisu zimekuwa nyingi sana, tena na figisu hizi zinaanzia serikali kuu, mfano stendi ya Ilemela ilianza kujengwa pamoja na stendi ya mbezi(stendi ya JPM) lakini cha ajabu stendi ya Dar imeanza kutumika mapema wakati stendi ya Ilemela haijulikani itamalizika lini, angalia miradi kama ya soko kuu Mwanza adi sasa wapo nyuma kwa asilimia 38%, stendi ya Nyegezi wapo nyuma kwa 22% na daraja la kigongo busisi wapo nyuma kwa zaidi ya asilimia 47%.
Karibu sanaSiku moja nitafika Mwanza kutembea.
Kwa staili hiyo Mwanza ina viongozi wavivu sana!! Haswa ilemela,!!Nasikia wapo wanafanya uchunguzi liligubikwa na ufisadi wa kutisha, pia render walipaswa kujenga jengo la ghorofa lakini wakajenga kama ligodown.
mongela hakuwa serious bora engineer ana sura ya kaziKwa staili hiyo Mwanza ina viongozi wavivu sana!! Haswa ilemela,!!
Hata DC Ilemela naona nae yupo vizuri sana field Hassan Masalamongela hakuwa serious bora engineer ana sura ya kazi