Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

mongela hakuwa serious bora engineer ana sura ya kazi
Ata mimi namshukuru sana Rais samia kwa kutupatia mkuu wa mkoa kama huyu, ni aina ya wakuu wa mikoa wenye uzalendo wa kweli na wapiga kazi na si mtu wa kukaa ofisini, ni mfatiliaji mkubwa wa miradi, naomba aendelee kuwa na moyo huo.
 
Nera
269653772_1086175105468642_8720723428664428318_n.jpeg
 
Jiji la Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa na kwa uchumi nchini Tanzania, mfumo wa uchumi wa Mwanza unategemea zaidi private sector, mashirika na taasisi binafsi.
Watu wamekuwa wakijiuliza kama Mwanza ni jiji kubwa kiuchumi na kibiashara kwa nini mapato ya halmashauri ni madogo kulinganisha na mji kama Dodoma?, jibu ni kwamba jiji la Mwanza ni jiji la kipebali mfumo mkubwa wa uchumi haumilikiwi na serikali, mfano vitega uchumi vya halmashauri/serikali ni vichache kulinganisha na Dodoma au miji mingine so halmashuri haina huwezo wa kuvuna mazao mengi sehemu ambayo hawalima vya kutosha, huwekezaji wa serikali kwa jiji kama Dodoma ni mkubwa na ndio maana ata makisio yao ya ukusanyaji wa mapato unakuwa tofauti kati ya sehemu moja na sehemu nyingine, mapato makubwa ya halmashauri ina maanisha serikali imeweka nguvu kubwa huko.
NB: Mapato makubwa ya halmashauri hayamaanishi kuwa uchumi wa mji huo ni mkubwa la asha, kiwango cha uchumi kinapimwa na GDP ndo maana Dodoma na Arusha zimeachwa mbali sana kiuchumi na Mwanza kwa kuangakia vigezo vya kiuchumi.
 
Jiji la Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa na kwa uchumi nchini Tanzania, mfumo wa uchumi wa Mwanza unategemea zaidi private sector, mashirika na taasisi binafsi.
Watu wamekuwa wakijiuliza kama Mwanza ni jiji kubwa kiuchumi na kibiashara kwa nini mapato ya halmashauri ni madogo kulinganisha na mji kama Dodoma?, jibu ni kwamba jiji la Mwanza ni jiji la kipebali mfumo mkubwa wa uchumi haumilikiwi na serikali, mfano vitega uchumi vya halmashauri/serikali ni vichache kulinganisha na Dodoma au miji mingine so halmashuri haina huwezo wa kuvuna mazao mengi sehemu ambayo hawalima vya kutosha, huwekezaji wa serikali kwa jiji kama Dodoma ni mkubwa na ndio maana ata makisio yao ya ukusanyaji wa mapato unakuwa tofauti kati ya sehemu moja na sehemu nyingine, mapato makubwa ya halmashauri ina maanisha serikali imeweka nguvu kubwa huko.
NB: Mapato makubwa ya halmashauri hayamaanishi kuwa uchumi wa mji huo ni mkubwa la asha, kiwango cha uchumi kinapimwa na GDP ndo maana Dodoma na Arusha zimeachwa mbali sana kiuchumi na Mwanza kwa kuangakia vigezo vya kiuchumi.
Umeiweka kitaalamu sana.
 
Back
Top Bottom