Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gold crest ni classic zaidi. tatizo lake it is too expensive.Asante sana mleta mada. Thread umeitendea haki. Hivi kati ya Kingdom, Gold Crest na Ryan's Bay ipi inabamba zaidi? (nimeshawahi kufikia Kingdom na Gold Crest). Lakini Gold Crest kama inaelekea kuchoka kind of.
Sawa wankimaMi sio ngosha, ngosha ni mwanaume
usiridhike kwa pcha ridhika kwa kuutembeleaKwahio huu mji ndio mnalinganisha na Arusha ? Wasukuma mnatabu kwelikweli.
Duuh! Mkuu umenishtua.. Kuna Joy mmoja nilikuwa natoka nae anakaa maeneo ya Nyamanoro hukohuko Mwanza.. Isejekuwa the same person!Kuna demu tuliwahi dinyana kwa ASSIST hapo MIPA HOTEL, Daaah!! Miss you my Joy.
Hivi wale wanaosema Arusha ni pazuri kuliko Mwanza bado wapo?
Anaelinganisha Mwanza na Arusha hajui hata historia ya majiji haya mawili. Kwa ufupi Mwanza ilitangazwa kuwa jiji mwaka 2002, Arusha mwaka 2010. Mwanza inaundwa na manispaa mbili; mwanza jiji na manispaa ya Ilemela. Arusha halmashauri ya Arumeru inayounda jiji la Arusha bado haijawa na hadhi ya kuitwa manispaa. Baada ya Dar inafuta mwanza na hayo majiji mengine Arusha, Tanga, Mbeya yanafuata. Ahsante