Hyo ya Lumumba Ina ghorofa ngapi?Kuna project ya ujenzi wa gorofa hapo mjini kati mitaa ya lumumba na sasa wapo ghorofa ya tano na huyu mkandarasi wa huu ujenzi kesho ataanza kujenga jengo la ghorofa 12 maeneo ya clinic kuna mwana humu alishapost huo mradi nikamtania, ni kweli mradi upo na ghorofa 12.
Pale clinic Kuna eneo Gani .au nela sasa hyoUpo sahihi kabisa huku patakuwa kama upanga asee.
Ni kweli tena alimashauri walikuwa wanataka kuliazima hili eneo kwa ajili ya mchinga lakini huyu bwana mkuzi liz akawazingua.wamejenga tu uzio hakuna project yeyote pale,,wajuzi wa mambo wanadai lile eneo ni open space ila kuna kigogo wa serikali amejimilikisha,,wanadai ni naibu waziri wa aridhi Ridhiwan
Niliwauliza wakandarasi wakasema ghorofa tisa, lakini speed yake ni hatari ndani ya week tatu wapo ghorofa ya tano.
Ni nela kuna jamaa humu alishpost nikawa namtania.
Aaha .anajiita njigo boy [emoji28][emoji28] ...Ile aliyopost inafanana na project ya shellNi nela kuna jamaa humu alishpost nikawa namtania.
Yule boya wako wa njombe mlifikia wapi? Nataka nirudi kwenye battle zetu, nilipata msiba nikawa kimya kidogo.
Yesi nazani ni eneo ilo kwa jinsi nilivyoambiwa na walikuwa waanze leo lakini wanamalizia land clearing.Aaha .anajiita njigo boy [emoji28][emoji28] ...Ile aliyopost inafanana na project ya shell
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole bwana ...jamaa wa njombe ..anachekelea maghorofa 7000 ,,,Yule boya wako wa njombe mlifikia wapi? Nataka nirudi kwenye battle zetu, nilipata msiba nikawa kimya kidogo.
Nilitaka kujipa task ya kupiga magorofa ambayo hayajakamilika na ambayo yaliwekwa kwenye majenzi yanayoendelea, ila magorofa ambayo hayajakamilika Kwa Mwanza ni mengi kuliko yaliyokamilika, kiukweli mwanza ina magorofa mengi sana.
Ndo hayo yako kwenye 64000Nilitaka kujipa task ya kupiga magorofa ambayo hayajakamilika na ambayo yaliwekwa kwenye majenzi yanayoendelea, ila magorofa ambayo hayajakamilika Kwa Mwanza ni mengi kuliko yaliyokamilika, kiukweli mwanza ina magorofa mengi sana.
Mkuu Mwanza ni balaa, ile jengo la cathedral pia wameanza kupiga bati za kuvutia hili kanisa litakuwa ni moja kati ya majengo ya utalii mwanza japo mimi ni atheist😂😂
Nadhani wanasubiri barabara za kuingia na kutoka zikamilike, pia wanangoja certificate yao ya mwisho ilipwe theni wakabidhi stendi, kiukweli serikali wanazingua sana kwenye malipo, alafu lawama zote anatupiwa makandarasi kwa kuchelewesha ujenzi.Tarehe 31/10 walisema ndo itakuwa siku ya kumkabidhi mkandarasi stand ya nyegezi cha kushangaza leo tarehe 7 stand bado haijakabidhiwa
Huku ni maeneo ya igoma
Amekalia maneno tu badala apambanie jengo la abilia liishe, Mwanza shida ya maji na umeme imekuwa kubwa kuliko zamani.Naomba kujua kama Kuna possibilities ya kupata record ya huu mjadala [emoji116][emoji116][emoji116]
Nbs wamesema mwanza Ina watu 3.7 milion ..
Mkuu wa mkoa kasema 4 milioni..
Hata Kwa kuround ...si ni lazima iwe 3.9 ndo ukadirieView attachment 2408711View attachment 2408712
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii barabara bajeti yake ipo? Na kama ipo je ipo chini ya Tanroad au? Naje itaanza kujengwa lini? Na kwenye kupishana na reli ya sgr je wataweka daraja au flyover?
Nyamagana wapenzi sana wa barabara za mawe lakini ilemela wao wanaamini zaidi barabara lazima hiwe ya lami.
Itapendeza sana! Pia pale ghana lile jengo la royal hospital usiache kutupatia update! Natamani mwanza isonge mbele daima!Nilitaka kujipa task ya kupiga magorofa ambayo hayajakamilika na ambayo yaliwekwa kwenye majenzi yanayoendelea, ila magorofa ambayo hayajakamilika Kwa Mwanza ni mengi kuliko yaliyokamilika, kiukweli mwanza ina magorofa mengi sana.
Siku tukiwa serious..ndo maendeleo tutayaona ...kwani hiyo barabara walikuwa wapi kujenga Hadi wasubiri mkandarasi amalize stendiNadhani wanasubiri barabara za kuingia na kutoka zikamilike, pia wanangoja certificate yao ya mwisho ilipwe theni wakabidhi stendi, kiukweli serikali wanazingua sana kwenye malipo, alafu lawama zote anatupiwa makandarasi kwa kuchelewesha ujenzi.