Mwanza City: The Photo Gallery

Hyo ya Lumumba Ina ghorofa ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wamejenga tu uzio hakuna project yeyote pale,,wajuzi wa mambo wanadai lile eneo ni open space ila kuna kigogo wa serikali amejimilikisha,,wanadai ni naibu waziri wa aridhi Ridhiwan
Ni kweli tena alimashauri walikuwa wanataka kuliazima hili eneo kwa ajili ya mchinga lakini huyu bwana mkuzi liz akawazingua.
 
Nilitaka kujipa task ya kupiga magorofa ambayo hayajakamilika na ambayo yaliwekwa kwenye majenzi yanayoendelea, ila magorofa ambayo hayajakamilika Kwa Mwanza ni mengi kuliko yaliyokamilika, kiukweli mwanza ina magorofa mengi sana.
Ndo hayo yako kwenye 64000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tarehe 31/10 walisema ndo itakuwa siku ya kumkabidhi mkandarasi stand ya nyegezi cha kushangaza leo tarehe 7 stand bado haijakabidhiwa
Nadhani wanasubiri barabara za kuingia na kutoka zikamilike, pia wanangoja certificate yao ya mwisho ilipwe theni wakabidhi stendi, kiukweli serikali wanazingua sana kwenye malipo, alafu lawama zote anatupiwa makandarasi kwa kuchelewesha ujenzi.
 
Nilitaka kujipa task ya kupiga magorofa ambayo hayajakamilika na ambayo yaliwekwa kwenye majenzi yanayoendelea, ila magorofa ambayo hayajakamilika Kwa Mwanza ni mengi kuliko yaliyokamilika, kiukweli mwanza ina magorofa mengi sana.
Itapendeza sana! Pia pale ghana lile jengo la royal hospital usiache kutupatia update! Natamani mwanza isonge mbele daima!
 
Nadhani wanasubiri barabara za kuingia na kutoka zikamilike, pia wanangoja certificate yao ya mwisho ilipwe theni wakabidhi stendi, kiukweli serikali wanazingua sana kwenye malipo, alafu lawama zote anatupiwa makandarasi kwa kuchelewesha ujenzi.
Siku tukiwa serious..ndo maendeleo tutayaona ...kwani hiyo barabara walikuwa wapi kujenga Hadi wasubiri mkandarasi amalize stendi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…