Hata ukicheki gorofa nyingi hapo town ni za wasukuma na wakurya mzee! Ila wako kimya tu! Watu wa Kagera hawana nguvu kubwa sana Mwanza hata ukienda nyamhongolo mabasi ya kwenda bukoba kama Sabuni Fikosi kisire ni kurya na sukuma ndo inamiliki!Kweli kabisa ...rich's wengi wa kisukuma sio wa matangazo sana ...
Naomba kuuliza watu wa Kagera ,wana investment Gani kubwa mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakurya ni noma ..anzia mwanza hotel ,nyanza bottling,mkombozi feries ,mijengo mingi pale mwananchi ni ya wale majamaa ...Unajua hata ile CF hospital ni wakurya wale
Wahaya wanafanya investment za kuwahi vizimba vya kwenye masoko ya jiji la Mwanza 😂😂😂 utani tu lakini.Kweli kabisa ...rich's wengi wa kisukuma sio wa matangazo sana ...
Naomba kuuliza watu wa Kagera ,wana investment Gani kubwa mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakurya, wasukuma na wahindi ndio wawekezaji kwwnye hili jiji wengine wamekalia ujuaji wa maneno mengi tu na sifa za kipuuzi.Wakurya ni noma ..anzia mwanza hotel ,nyanza bottling,mkombozi feries ,mijengo mingi pale mwananchi ni ya wale majamaa ...
Hata said yule aliyepiga mtu risasi Saba . alikuwa na pesa chafu [emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Japo nyanza bottling company ni ya mzungu lakini gachuma naye ana hisa kubwa tu hapo.Wakurya ni noma ..anzia mwanza hotel ,nyanza bottling,mkombozi feries ,mijengo mingi pale mwananchi ni ya wale majamaa ...
Hata said yule aliyepiga mtu risasi Saba . alikuwa na pesa chafu [emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unajua intelligent man .ni mhaya..[emoji16]...Hadi amemute alivyoona mnamponda...bwana mkubwa ni utaniWakurya, wasukuma na wahindi ndio wawekezaji kwwnye hili jiji wengine wamekalia ujuaji wa maneno mengi tu na sifa za kipuuzi.
Ila huyu kitana huyu mkurya ni mtu na nusu japo magufuri alitaka kumfirisi lakini ili jamaa lina pesa kama lilizaliwa nazo.Wakurya ni noma ..anzia mwanza hotel ,nyanza bottling,mkombozi feries ,mijengo mingi pale mwananchi ni ya wale majamaa ...
Hata said yule aliyepiga mtu risasi Saba . alikuwa na pesa chafu [emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Gachuma kafanya alivyofanya mengi .kununua jina na brand ya kampuni ya coca cola (franchise)Japo nyanza bottling company ni ya mzungu lakini gachuma naye ana hisa kubwa tu hapo.
Hahaha kama wanani mzee? Maana wazee wa miguu ya spoku walikuwa wanasema wao ndo kwenye hela hapa mjini!Wakurya, wasukuma na wahindi ndio wawekezaji kwwnye hili jiji wengine wamekalia ujuaji wa maneno mengi tu na sifa za kipuuzi.
Mi mwenyewe upande mmoja Kagera [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Hivi unajua intelligent man .ni mhaya..[emoji16]...Hadi amemute alivyoona mnamponda...bwana mkubwa ni utani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hvi lile ghorofa lake pale mwaloni ,,,ilikuwaje likakomea hapoIla huyu kitana huyu mkurya ni mtu na nusu japo magufuri alitaka kumfirisi lakini ili jamaa lina pesa kama lilizaliwa nazo.
Hao hawana diversity kama wasukuma hao wanazani maisha yapo mjini tu, wasukuma wanasaka noti mijini, vijijini, mbugani na maporini hapo utajua yupi ni hustler zaidi ya mwenzake.Hahaha kama wanani mzee? Maana wazee wa miguu ya spoku walikuwa wanasema wao ndo kwenye hela hapa mjini!
[emoji27][emoji33][emoji33] Samahani boss ...we are just joking...kama sie tunavyoitwa washamba wa nchiMi mwenyewe upande mmoja Kagera [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Tatizo la Kitana ni tajiri wa kizamani hana investment za maana hata jengo lake pale kirumba finishing bado! Lakini wenzake akina Chegeni ,gachuma ,kishimba wako vizuri!Ila huyu kitana huyu mkurya ni mtu na nusu japo magufuri alitaka kumfirisi lakini ili jamaa lina pesa kama lilizaliwa nazo.
Najua ni utani bro[emoji13][emoji27][emoji33][emoji33] Samahani boss ...we are just joking...kama sie tunavyoitwa washamba wa nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣 intelligent man anapambana sana tatizo nayeye maneno mengi picha hamna lakini namkubali.Hivi unajua intelligent man .ni mhaya..[emoji16]...Hadi amemute alivyoona mnamponda...bwana mkubwa ni utani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile ni mali ya mkurya man, mtu na nusu jemedari kitana wazagamba.
Kishimba yule sio wa kawaida...ana hostel za wanafunzi dodoma .ni zaidi ya Kijiji .enzi nasoma chuo alikuwa anatupiga 80 elfu chumba ..na hapo umelipia bed tu sio chumba ...Tatizo la Kitana ni tajiri wa kizamani hana investment za maana hata jengo lake pale kirumba finishing bado! Lakini wenzake akina Chegeni ,gachuma ,kishimba wako vizuri!