intelligent man
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 705
- 1,123
Kwann halifanyii finishing
Ile ni mali ya mkurya man, mtu na nusu jemedari kitana wazagamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ni mali ya mkurya man, mtu na nusu jemedari kitana wazagamba.
Magufuri alitak abomoe ilo jengo ambalo alilijenga ndani ya ziwa kwa kutengeneza ardhi ya bandia kwenye ziwa.Tatizo la Kitana ni tajiri wa kizamani hana investment za maana hata jengo lake pale kirumba finishing bado! Lakini wenzake akina Chegeni ,gachuma ,kishimba wako vizuri!
Ni mali yake at jengo la kitco.Kishimba yule sio wa kawaida...ana hostel za wanafunzi dodoma .ni zaidi ya Kijiji .enzi nasoma chuo alikuwa anatupiga 80 elfu chumba ..na hapo umelipia bed tu sio chumba ...
Jamaa Lina investment sana .nasikia hata rock beach ni yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja ajiimalishe alikuwa ameanza kufilisiwa nyie acheni, jengo la mabilioni ya pesa livunjwe, account bank zifungiwe unazani mchezo, pili hilo jengo limejengwa kwa zege tu mwanzo mwisho.Kwann halifanyii finishing
Kuna mhindi mmoja anamiliki mjengo pale Pepsi (Texas tower ) anaitwa Patel . nasikia ndo Tajiri 1 mwanzaMagufuri alitak abomoe ilo jengo ambalo alilijenga ndani ya ziwa kwa kutengeneza ardhi ya bandia kwenye ziwa.
Yule mzee nikwambie ni kamanda kweli kweli wa kikurya sura ya mbuzi!Ngoja ajiimalishe alikuwa ameanza kufilisiwa nyie acheni, jengo la mabilioni ya pesa livunjwe, account bank zifungiwe unazani mchezo, pili hilo jengo limejengwa kwa zege tu mwanzo mwisho.
Mbona Hilo jengo naona kama mkombozi feries wanalimiliki ..Ngoja ajiimalishe alikuwa ameanza kufilisiwa nyie acheni, jengo la mabilioni ya pesa livunjwe, account bank zifungiwe unazani mchezo, pili hilo jengo limejengwa kwa zege tu mwanzo mwisho.
Namwita kmanda au mfalme wa ziwa victoria ndio jinsi mwanaume anavyotakiwa kuwa, magufuli hakumpenda kwa sababu jamaa alipata pesa kinguvu na kiharamia ndani ya ziwa ngoja niishie hapa lakini huyu mzee ni sura ya mbuzi ukiwa kwenye anga zake.Yule mzee nikwambie ni kamanda kweli kweli wa kikurya sura ya mbuzi!
Mkombozi ferry ndo Kitana mzee! Usifanye masihara kama huyo mzee ni shida!
Mkombozi ferries ndio Mwita Kitana Chacha mwenyewe
Mkombozi ferry kwani ndio nani😂😂😂😂 hiyo ni mali ya mtu na nusu mkurya man Kitana wa zagamba.
Nazan alikuwa ajui😂😂😂😂Mkombozi ferries ndio Mwita Kitana Chacha mwenyewe
Hivi na Mkombozi Fm itakuwa ya Kitana?Nazan alikuwa ajui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mhindi mmoja anamiliki mjengo pale Pepsi (Texas tower ) anaitwa Patel . nasikia ndo Tajiri 1 mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh . nilikuwa sijui aisee ...[emoji28]Mkombozi ferry kwani ndio nani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo ni mali ya mtu na nusu mkurya man Kitana wa zagamba.
[emoji373][emoji28][emoji28][emoji373]hyo ni ya kanisa la malisa ..michungwaniHivi na Mkombozi Fm itakuwa ya Kitana?
ila kile kiwanda cha nyanguge ni komesha af kuna watu wa mbeya wanatuleteaga viwanda vya mahindi 😄😄😄😄Huyo ndio meb mwenyewe na ndio mwenye MS company ndio mwenye viwanda nyamhongolo n sasa anahamisha kiwanda chake nyanguge, nilishaleta story yake humu huyo ni mtu na robo tatu😂😂😂
Chamwenda [emoji13][emoji13][emoji13][emoji373][emoji28][emoji28][emoji373]hyo ni ya kanisa la malisa ..michungwani
Sent using Jamii Forums mobile app
ila kile kiwanda cha nyanguge ni komesha af kuna watu wa mbeya wanatuleteaga viwanda vya mahindi 😄😄😄😄Huyo ndio meb mwenyewe na ndio mwenye MS company ndio mwenye viwanda nyamhongolo n sasa anahamisha kiwanda chake nyanguge, nilishaleta story yake humu huyo ni mtu na robo tatu😂😂😂